Recent content by katu nundu

  1. K

    Serikali: Katika miaka 5 iliyopita tumejenga Viwanda 8,000 vingi vikiwa mkoa wa Pwani

    Ingekuwa vizuri watuonyeshe hivo viwanda, maana kuna wengine hawataamini
  2. K

    Kuwa wakala wa vinywaji (soda na bia)

    Hiyo pesa sio ndogo babu
  3. K

    Nchi imeanza kurudi nyuma kwa kasi ya ajabu, bila rushwa TANESCO hawafungi umeme

    Kila siku tunawaambia bora mtafute umeme wa solar kuliko huu umeme wa tanesco. Watanyooka wenyewe.
  4. K

    Serikali angalieni suala la Tanesco, maji , miamala na vifurushi vya simu

    Mimi naona wanafanya hivo kutengeneza mazingira ya rushwa. Ukiingia kwenye tovuti yao nako vituko tu, yaani wanaweka nambari ya mawasiliano isiofanya kazi. Serekali inapoteza kodi nyingi kwenye huduma ya umeme hata sioni sababu ya kuzuia ushindani na makampuni mengine.
  5. K

    Serikali angalieni suala la Tanesco, maji , miamala na vifurushi vya simu

    Hata Kenyan Power Limited (KPL) nao walikuwa wasumbufu kama TENESCO. Wakenya wengi walijiongeza kutumia masolar panels, KPL walipoona wateja wengi wanahamia kwenye masolar ndo wakaanza kuboresha huduma zao mpaka Leo. Ila shida ya watanzania wengi sijui wanakwama wapi kutumia njia mbadala mbona...
  6. K

    Serikali angalieni suala la Tanesco, maji , miamala na vifurushi vya simu

    Watu wahamie kwenye masolar panel, waachane na TENESCO
  7. K

    Rais Samia amepoteza mwelekeo mapema sana, hawezi kutoboa!

    Swala hapa sio kuwa na pesa au la. Je wananchi wako tayari kujifunga kibwebwe katika kufanikisha malengo ya serikali ambayo itawasaidia wao (wananchi). Serikali inatafuta fedha kukamilisha miradi itakayosaidia kukuza uchumi ila wananchi wanaanza kuangalia gharama bila kuangalia faida ya hiyo...
  8. K

    Rais Samia amepoteza mwelekeo mapema sana, hawezi kutoboa!

    Tatizo lenu mnataka kujenga kitu kizuri huku hamtaki kugharamika. Utekelezaji wa projects unavozidi kucheleweshwa ndo nchi inazidi kupata hasara. Hapa ndo tutajua nani mzalendo na nani sio. Damu za wazalendo zilimwagika kwa ajili ya maslahi ya taifa seuze kutoa mali kwa ajili ya maendeleo ya...
  9. K

    Uzoefu kutoka USA: Kodi mbalimbali zinazotozwa nchini Marekani

    Kama hamtaki kulipa kodi tafuteni nchi nyingine msitupigie kelele hapa.
  10. K

    Rais Samia kweli umedhamiria kukusanya Kodi za dhuluma hadi kwenye mbolea?

    Hebu lipeni kodi kwa kutanguliza maslahi ya taifa kwanza. Mbona hela ya kuhonga hamkosi. Hao maskini ndo wanaongoza kuchezea hela kwenye mambo ya starehe.
  11. K

    Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

    Hivi wasomali wamekukosea nini? Hujui kuwa wasomali nao ni raia wa Tanzania ama umeamua kujitoa ufahamu. Kinaya kweli kweli,yaani unapigania haki huku ukiendeleza ubaguzi. Hakuna namna mama aendelee kuwaminya tu mpaka mtokwe na mavi. Wahafidhina nyie!!!
  12. K

    Vijana tujiari Serikalini hakuna ajira

    Hongera mleta mada. Usikatishwe tamaa na wapinzani. Halafu hawa wanaokuponda wanajisahaulisha kuwa hata hiyo kozi uliosomea imebesi sana kwenye theory badala ya practical.
  13. K

    #COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

    Hahahaha 😂😂. Mkuu umenifurahisha hapo kwenye maboga.
  14. K

    #COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

    Hahahaha! Hayo madawa unayosifia yote yametokana na mimea. Huwezi kuwa mbunifu kwa kukopi kopi. Hakuna anayejionyesha kwenye suala la kupambana na Uviko-19. Kenya chanjo zimefika kitambo lakini bado maambukizi yako pale pale, sasa hapa kinachoendelea ni biashara tu.
  15. K

    #COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

    Mkuu naomba unijibu. Tanzania kujitengenezea dawa yake shida iko wapi? Mbona India imejitengenezea chanjo hujalalamika? Mpaka lini tutaacha kutegemea nchi zingine?
Back
Top Bottom