Hii radio bado ipo? Hata hivyo huyo padri courage kaipata wapi wakati ndo wao wahusika wakubwa wa ESCROW-maaskofu wawili,mapadre,bank ya kanisa,anatetea mfumo ,tamko lilishatolewa awali,no katiba mpya ya mafisadi CCM, no kuchagua chama cha mafisadi CCM,ni tamko la maaskofu,lile...