Bro, yaana iko hiv, utamuacha mkeo aliye kupeleka rumande akafuta kesi kesho yake, alaf ukamchukua ambaye ukimpiga mikanda wala hatakuja kukutizama ukiozea jela, huyo kwa kitendo cha kufuta kesi ndani ya masaa 24, anakupenda sana , ila kama unavojua wanawake, shida mashost, lakin pia woote...