Hili ni pepo ndugu zangu sio mtu huyu, yeye na wanaomshabikia damu za ndugu Zetu na ziwe juu yao milele.. shemeji yangu ameuliwa alikua ndani af anaongea nini samuya.. rubbish
Ukweli ni kwamba hatuna amani, ni vile tuna force Ili maisha yaende kazi zifanyike tusije kufa njaa, ila amani hakuna.. sijui Sasa mnataka tulinde amani ipi nyie watu...
Serikali yao yooote imejaa damu, walivyo mafala wanafurahia tu, hivi ni madaraka tu au Kuna kitu kingine jamani, kama ni hela ndio hizi hizi ukifa unaziacha ndio umwage Damu nyingi hivi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.