Recent content by Katotochamwisho

  1. Katotochamwisho

    Huku Mbweni hii mijengo ni ya Watanzania wenzetu?

    https://youtu.be/6EHYSMKLDJ8?si=nbRZVloZNbOWEjh7 tazama video hio ujionee mbweni yetu
  2. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    wala sijawai kuangaika na simu yake mpka nilipohisi jambo na nimesadiki nililolihisi ni sahihi kosa langu ni lipi nikama mtu unaehisi unafuatiliwa na wezi kisha ukawatiming na kujiepusha nao au unafikili huwa nilikua nikifuatilia mawasiliano yake kabla niliyafuatilia pale tu nilipokua na mashaka...
  3. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    kwa mganga mzee au unataka nikubwagie kapicha ka dawa za kiganga ambazo ni bomu kwa ajili yangu
  4. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    nimeonba ushauri ila tayari nimeshawapa taarifa ndugu wangu wa karibu hapa imebaki mzee tu nae nimeambiwa nitumie hekima kwani ni mkorofi mno japo anaupole ndani yake ila mimi akili yangu ishaniambia mipige chini
  5. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    watu wengi hujiuliza mara mbili kwenye ndoa sababu tunaona mateso wanayo yapata watoto wanaoishi mbali na wazazi wao au ambao wazazi wao wametengana.
  6. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    nimerogwa Mungu ndie amenirinda na huo mrogo sababu jambo lolote baya utalifanyiwa kimazingara Mungu asipopenda likukute halitakukuta kamwe. shida ni kwamba nimeona anarudia kwa mara ya pili nimehisi nikakagua simu yake na nikakuta nachokuhisi ni sahihi
  7. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    mimi familia niloingia inaamini uganga kupitiliza na kujificha kwenye dini ni hatari kwakweli niliwai juta kwanini nimeoa kwasababu nilifikili nitae muoa anashida ila ajabu nilie muoa anapelekeshwa na wazazi wake na kusahau kuna familia yake.
  8. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil...
  9. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    mimi na lala vizuri sana boss wangu nausingzi napata fresh kaabisa ila ni kitu kinaniumiza sana. sababu niliamua kuoa ili nitulie maana nilikua kiwembe sana na nilitafuta mwanamke wakunifaa kwa tabia kumbe nikasahau kua na kabila mtu anaweza kua na dini ila kabila likashikilia ulozi tuu full
  10. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    sana ndugu yangu kwani mwanamke kama anaakili hizi za kuamini uchawi uchawi hata kufanya jambo la maana hataweza mwisho wasiku anakua mwanga kweli na pia nawatoto nae najiuliza huyo mtoto akikua nae atakua mlozi sababu kwa asilimia kubwa watoto zetu wanakaa na mama zao
  11. Katotochamwisho

    Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    inaweza kua kweli ila naimani jambo lologe kama mungu ajapanga likufike aliwezi kukufika najua yeye afahamu kama najua ananiroga ila nitamchana makazvu soon yani naeza anza nawazee wake nikamalizia kwake kwani wakati namuoa aliniroga alafu sasa kinachoniuma zaisi nimewekeza maendeleo sana wakati...
Back
Top Bottom