Recent content by katosho

  1. K

    Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

    Mimi Niko huku Simiyu hata iyo radio 5 fm hatuwai na leo watu wametoroka kazi waone hiyo coverage live Itv kumbe usanii si bora wangekaa kimya.
  2. K

    Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

    Mbona star TV Leo awaonyeshi mkutano wa Magufuli?na subiri nione sijui wanaweka vitu gani hata siwaelewi!!!!!
  3. K

    Hii ni Neema kwa Wanafunzi wote vyuo vikuu! Msipuuzie!

    Soma post yangu uwelewe siyo unakurupuka muhimu ni wanafunzi wapate elimu ya juu iwe kwa mkopo au bure asiwepo mtu anauwezo wakusoma harafu anakaa kijiweni kwa kukosa ada.sasa hivi tunaosoma vyuo vikuu 90%hatuna hata hiyo mnayoita mikopo wapo wengine wamefahuru vizuri form six wazazi wao hawana...
  4. K

    Hii ni Neema kwa Wanafunzi wote vyuo vikuu! Msipuuzie!

    Hiyo nikudanganya watanzania unaposema hakunaga chuo kikuu bure ebu fanya utafiti katika hizo nchi mnazoziita za kibepari kama kuna kijana yeyote wenye uwezo wa kuendelea na elimu ya juu ameshindwa kutokana na umasikini wa mzazi wake kama ameachwa mtaani mf. marekani elimu bure kuanzia chekechea...
  5. K

    UKAWA: Hesabu za kura hizi hapa - Usisubiri mpaka 25 Oktoba 2015

    Kwani umefanya utafiti ukajua wanachama wote 7mil waccm wapo ndani ya wapigakura mil.24?
  6. K

    Masanduku ya kupigia Kura yachunguzwe na kuhakikisha ni matupu kabla ya watu kupiga kura

    Masanduku uwa yako transparent siraisi kuweza kufanya usanii,wawe makini na themosi na hotpot wanazoletewa chakula wasimamizi huku arumeru tulikamata themos na hotpot zimejaa kura walitaka kumpiga bao Nassar!!
  7. K

    Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa kutoka Kigoma

    Kafulila alikuwa sahihi kabisa ni bora waanzishe chama cha Mawese kuliko kuwa na chama cha Mwandiga tu...
  8. K

    Jengo la CCM Arusha!! Picha

    Hata Nguo za kijani ni nadra kuziona jiji Arusha toka laigwanani amalize kazi...
  9. K

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Vip jamani na Magufuli atakuwepo huko?
Back
Top Bottom