kama una sababu za msingi unaruhusiwa kwenda polisi, nilivyoelewa ni kwamba kukusanyika bila sababu ya msingi nji marufuku. waandishi hawakusanyiki, waandishi wanafuata habari na kuondoka hivyo wanasababu ya msingi ya kwenda kituoni.
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI
KUIBUBUKA KWA MAKUNDI YA UTAPELI.
Katika siku za hivi karibuni katika maeneo mbalimbali hapa nchini, kumejitokeza makundi ya watu ama mtu binafsi kutumia mwamvuri wa taasisi fulani kujipatia kipato kwa njia za udanganyifu (utapeli) kwa...
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa kuboresha usalama wa jamii nchi nzima ambao unalenga kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa...
Aiseeh siku ile ilikuwa balaa sana, maana kuanzia buguruni, llala, mpaka tunafika posta ni msafara tu ikatubidi kushuka katika daladala kuja mijini kwa miguu, kwa kweli mipango na mikakati ya siku ile ilivurugika kabisa ni kweli ni bora kama mgombea akutane na watu wake katika viwanja vikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.