Nadhan hoja ilikua ni alienda kule kwa capacity ipi!?... Ni kweli General muhoozi ni in charge wa Jeshi la Uganda( very official) . Upande wa Nishati Abdul aliiwakilisha Tanganyika kwa Capacity ipi!?
Nyerere alikua anashauri au alikua anakosoa maovu yaliyokuwa yanafanywa na serikali iliyokuwa inaongozwa na Chama chake...JK wa sasa analaumiwa kwa kutoa ushauri au kupendekeza masuala ambayo kwa macho ya walio wengi wanaona ushauri wake unavunja kanuni na katiba ya Chama Chake.
That's very possible, manake nakumbuka Kipindi Cha Magu alikua analalamika kwamba Serikali yake inawalipa mishahara Marehemu, sasa kama undava huo ulikua unafanyika kwa Serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi including TISS sitashangaa kama raia wa Kawaida akiibiwa voting rights zake.
Okay...sasa vipi kuhusu wale waajiriwa wa Serikali na taasisi zake ambao wengi wao wamejifunza IT wakiwa kazini na uperekwa tuu kozi fupi za kufundishwa jinsi ya kutumia mfumo unaotumika..unadhani wanaweza kuwa na utundu/creativity waliyonayo hawa vijana walio kua na laptops kama Toys?! na most...
Technically anasema Mama sio Amiri Jeshi Mkuu... statement yake ukiisogeza pale Kisutu ni rahisi sana akaunganishwa na Lissu..but I guess wahusika hawaoni impact ya Statement yake hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.