Hivi kweli kwa akili yako bado unaamini kwamba viongozi wetu wana dhamiri iliyo hai? maneno kama hayo uambiwa watu wanaotafakari na ambao hawajaua dhamiri zao.
Unampamba kweli kweli, lakini sisi wenyeji wa Kyerwa tukijaribu kuvuka mpaka na kujipatia visamaki kwenye ziwa tunalogawana nao, tunapotelea kule!!!!!!
sisi tulilosoma enzi zile za Primary schools na middle schools, kukariri darasa lilikuwa zoezi la kawaida na mtu aliyemaliza hadi kidato cha sita bila kukariri alikuwa bingwa. Haya sasa nyinyi wa dot com endeleeni na kujaza miaka badala ya maarifa.
Swali la msingi hapa siyo wabunge wa upinzani kurudi tena bungeni. Swali kuu ni iwapo tunahitaji kutumia hela nyingi kiasi hiki katika uchaguzi wa vyama vingi. Je tunahitaji vyama vingi kwa mazingira tuliyo nayo au ndiyo tunajifanyia sarakasi za kisiasa?
Mtoa hoja alikuwa na hoja moja tu yenye nguvu: UHURU. Hata kama watu wote wanakula na kusaza, kama hakuna uhuru wa kufikiri na kusema unachofikiri, yote ni bure.
Kiingreza kinaingia akilini mwako? Kuna sharti moja kalitaja Barrick nalo ni maridhio ya kamati huru YaAcaccia. Hao ndiyo watatoa baraka
Hilo ni sharti lisipotimilika yote yanakuwa zero
The end justifies the means? Do you know what you are talking about? Is that your moral principle ? You want to tell us that, since your end is to get rich, you have a right to steal because stealing is your means towards your end? Pathetic generation. I wish I was dead rather than read moral...
Hivi Watanzania kwa nini tunaletewa mifumo tusiyoielewa na tunakubali kulipa gharama za uendeshaji wake? Siasa za vyama vingi ni siasa za ushindani. Ktk ushindani unatafuta sehemu dhaifu ya mpinzani wako unakomolea msumari. Ndiyo upinzani. Unachunguza anapokosea unamgonga. Kama hilo hatuliwezi...
Hi
Hivi vijana wa siku hizi mnatumia kiungo gani cha mwili kufikiria? Unadhani umetoa hoja ya kuinusuru serikali? Tuliyemkabidhi usalama wetu na mali zetu ni serikali na wala siyo vyama vya siasa wala kikundi chochote cha jamii. Kwamba mtu kapata madhara na serikali haijatoa majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.