Ungejaribu kutuelezea tabia ambazo zimefanya mpaka black Americans wamekuwa hivyo ningekuelewa lakini sio kila kitu kusingizia wazungu.
Labda tu kwa asiyejua lakini sehemu wanazokaa mablack zinajulikana ni fujo, uhuni Sasa hapo mafanikio ya kufika mbali yatapatikana wapi. Wewe mwenyewe...
Mnyamwezi ni noma sana.......we unafikiri Iran hasingekuwa na vikwazo wangeshindana na USA kiteknolojia....
1) Tuanze tu internert tunayotumia ni wao...
2) Social medias zote kubwa ni wao...
Na mengineyo......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.