Recent content by KATA KUCHA

  1. K

    Ibrahim Rahbi na Azam na uchambuzi wa mgogoro wa Israel na Hamas

    Mfalme, kwako wewe unaumia unapoona Muislam anachambua masuala ya Mashariki ya kati? Mbona unaonesha hisia hasi kwa Watanzania wenzio kisa dini? Unataka kumaanisha kwamba vyombo vyote vya habari vinavyomilikiwa na wakristo ni marufuku mkristo kuchambua masuala na vile vinavyomilikiwa na waislam...
  2. K

    Je, ni kwa nini Mungu aliamua kubadili ahadi yake kwa waumini wake kwenye Quran?

    Naam, Qur'an ni kitabu cha mwisho katika vitabu walivyopewa Mitume wa Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake wa mwisho Muhammad (swala na salaam ziwe juu yake.) Lakini Qur'an sio updated version ya Biblia. Na fahamu pia hakuna kitabu kinaitwa Biblia kilichoshushwa kwa Mtume yeyote. Kama unakusudia...
  3. K

    Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

    Mkuu Robert, Ingekufaa zaidi lau ungeleta hoja za kutaka wewe binafsi ujielimishe hasa katika maswala ambayo huna ujuzi nayo. Lakini ulichofanya ni kutoa hukumu kwa yale usio na elimu nayo kwa ku-conclude. Hii ni tofati sana na vile mwanzo nilivyokudhania kama msomi mzuri na mwerevu wa mambo kwa...
  4. K

    Je, ukivamiwa na nyuki ufanyeje kujiokoa?

    Mzee Baba umetisha! Hongera kwa kusalimika na janga hilo kwa kutumia mbinu shirikishi. Yaani mbinu ya kugawana shida na wenzio.
  5. K

    Airtel wana shida gani? Yaani hata namba yao ya Huduma haiendi

    Nilidhani hili tatizo ni kwangu pekee. Asubuhi hii Airtel hata menu ya kununua vifurushi haifanyi kazi, namba ya huduma kwa Wateja pia haifanyi kazi.
  6. K

    Ushauri kwa NECTA: Usimamizi wa mitihani kwa shule za Sekondari na Msingi

    Sanyambila, Lengo pekee la NECTA kubadili utaratibu wa usimamizi wa upimaji na mitihani ya Taifa ni kudhibiti udanganyifu katika mitihani ambao ni pamoja wizi wa mitihani unaopelekea kuvuja kwa mitihani kwa njia ya kuwapatia majibu watahiniwa. Japokuwa tatizo hili limekuwepo kwenye karibia levo...
  7. K

    Shehe Ponda: Kwanini Spika anaendesha Vikao vya Bunge Siku ya Ijumaa? Au ni kiburi?!

    Mleta mada angeandika kama ambavyo Shehe Ponda ameandika ingeleta uelewa mzuri. Bei Elekezi hapo mwanzo umenena vyema kwamba waislam hawahitaji wapumzike siku ya Ijumaa na wanapaswa baada tu ya kutekeleza swala ya Ijumaa watawanyike wakatafute rizki. Ila hakukua na ulazima sana wa kutumia lugha...
  8. K

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Mkuu Aslan kwanza pole kwa mkasa unaogusa sana lakini pia hongera kwa kuwa mtulivu hata baada ya kubainikiwa kuwa mtoto si wako. Nakupa pongezi kwakuwa tupo katika nyakati ambazo kila uchao visa vya mauaji yanayosababishwa na mapenzi vinagonga vichwa vya habari. Umeonesha uanaume kwa kuwa...
  9. K

    Nani mwenye cheo kikubwa Kati ya Meya na Mkurugezi wa Halmashauri?

    Hao madiwani ndio wanaomchagua na kama hawana imani naye wanaweza kumtoa. Usisahau kuwa Wakurugenzi wao hawafugamani na chama cha siasa. Sasa ikitokea wewe Mayor let say ni ww chama kingine halafu Mkrugenzi akafungamana na chama fulani ambacho kina madiwani wengi, basi Mayor ni kama vile...
  10. K

    Nani mwenye cheo kikubwa Kati ya Meya na Mkurugezi wa Halmashauri?

    Kama Mayors na Executive Directors kwenye Halmashauri zao wanatekeleza vyema majukumu yao basi ni wazi kuwa nafasi za wakuu wa wilaya hazina kazi. Majukumu ya wakuu wa wilaya yanaweza kuachwa kwa Wenyeviti wa halmashauri/manispaa au Jiji. Sema shida itakuja kwamba Mayor anaweza kuchaguliwa...
  11. K

    Nani mwenye cheo kikubwa Kati ya Meya na Mkurugezi wa Halmashauri?

    Mayor ni Haed kwa halmashauri za manispaa na jiji. Mkurugenzi ni secretary wake. Mayor ni political figure akiwawakilisha wananchi waliomchagua, Mkurugenzi ni non political figure (ni think tank wa halmashauri) na ni mteule wa Rais. Mayor kama mwenyekiti wa baraza la madiwani wana uwezo wa...
  12. K

    Kwanini Waislam msikubaliane kuhusu sikukuu ya Idi?

    Habari ni njema mkuu. Kwa kawaida sikukuu ya Idi inayoadhimishwa baada ya mfungo wa Ramadhan ina siku mbili za mapumziko yaani Idi mosi na Idi pili. Kama ujuavyo, sikukuu hizi hazina tarehe maalumu za kalenda ya jua isipokuwa zinafuata mwandamo wa mwezi. Na mwandamo wa mwezi nao una tofauti...
  13. K

    Napendekeza mfumo wa ‘Randomizer’ kwenye usajili wa ‘plate number’ za magari nchini

    Mfumo unaoupendekeza una faida kwako wewe unayetaka kuuza gari lako ambalo pengine na wewe ulilinunua kutoka hukohuko Japan. Baada ya kulitumia kwa muda kadhaa sasa unaona wenzio wanaoagiza magari kutoka Japan wasiagize wanunue lakwako. Ili kufanikisha hilo unatamani hata utaratibu wa plate...
  14. K

    Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

    Hapo na wewe ulikusudia kuandika nani badala ya nane sio? Kwa hivyo nawe umekosea kama alivyokosea Mr. Q? Halafu ukamwita bichwa maji la Jf kwa kukosea kwake? Wewe sasa uliyekosea kumkosoa aliyekosea utajiita nani?
Back
Top Bottom