Recent content by kassian2011

  1. K

    March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

    wagombea urais kenya wawe watulivu na waache wananchi wachague wanae mpenda,kwani nimeona baadhi ya wagombea kuanza kulalamika
  2. K

    Mbunge wa Bukoba Vijijini: Wanaohoji ahadi zangu hawana akili!

    Sihamini kama Rwehikiza anaweza kukosa busara kiasi hiki,kama kweli,katukosea wana ccm na wana bukoba kwa ujumla,aombe msamaha.kwa staili hii 2015 itakuwa ngumu sana kwake na kwa ccm
  3. K

    Tuhuma zangu kwa Lema

    Inasikitisha sana kama mtu amejitolea kwenda kuwapigania watanzania wa Igunga,alafu anakuja na swaga kama hizo,kwanza anatakiwa kujitambua yeye mwenyewe alikwenda kufanya nini,maana inaonyesha ajui kilichompeleka Igunga au alifikiri kule ni sehemu ya utalii?ukombozi si lelemama bro,jipange upya...
Back
Top Bottom