Recent content by Kasomeko

  1. Kasomeko

    Mwigulu Nchemba: Wahitimu vyuo vikuu rudisheni mikopo

    Mikopo iwe buree kabisa yaani isiwe mikopo tena bali iwe ni pesa mwanafunzi anapewa bure. Unajua kabisa nasomea ualimu na unajua huna uhakika wa kuja kuniajiri sasa unanikopesha ili nije nikulipe vipi? Nisomee ualimu halafu nije nikulipe kupitia uuzaji wa vitumbua!!!?? Serikali haipo makini...
  2. Kasomeko

    Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

    Kwamba unataka kumiliki mtu?? Unaweza kumiliki kila kitu hata simba na chui ILA SIO MTU!!!
  3. Kasomeko

    Wanatumia Vyoo vya kukaa hatarini kupasuka Makende

    We mtoa maada picha umeweka wapi?
  4. Kasomeko

    Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

    Kama karma ipo, basi MUNGU YUPO SHETANI YUPO KINYUME CHAKE NI KWELI PIA.
  5. Kasomeko

    Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

    Sawa tunajikita kwenye maada mkuu, kila mtu azae kulingana na uwezo wake, je, unataka kutuaminisha kua uwezo wa kipesa wa mafuru ulikua kuzaa watoto wawili tu? Ungesema kila mtu azae anavyotaka bila kujali uwezo wake kipesa hapo ningekuelewa sana. Naona kama unajitekenya na kucheka mwenyewe!!!
  6. Kasomeko

    Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

    Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!! Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
  7. Kasomeko

    Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

    Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!! Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
  8. Kasomeko

    Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

    Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!! Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
  9. Kasomeko

    Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Sijachangia kimahaba!! Kama mshindi ni afande, mbona hajarejeshwa kazini? Amri ya magufuri bado ipo palepale pamoja na kua hatuko nae!! Afande alikua na tuhuma za unyanyasaji lakini bado akaongea na mkuu wa nchi kama anaongea na mtoto au afande mwenzie walie lingana cheo!! Toa mahaba...
  10. Kasomeko

    Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Pamoja na kwamba amekufa, bado afande yuko nje kwa amri ya magufuri. Tuheshimu wakubwa. Shujaa hua anakufa kifo kibaya sana.
  11. Kasomeko

    Kupitia Sex ni rahisi sana kunyonya sifa za wale unaoungana nao

    Mchakato (mechanism?) Yake ikoje? Uongo mtupu kama ni rahisi hivyo kwanini umeegemea kwenye mambo mabaya tu? Nikijamiiana sana na tajiri nam nitakua tajiri?
  12. Kasomeko

    RC wa Dar es Salaam Albert Chalamila hakuna Kiingereza cha Thank you for Organization bali kuna Kiingereza sahihi cha Thank you for Organizing

    Kwani hiyo event ilikua ni lazma uongee kizungu? Mnakua kama hamna lugha zenu! Bora tuchapie sie tunaojifunza sio hao wenye degree mbili na kuendelea.
Back
Top Bottom