Mikopo iwe buree kabisa yaani isiwe mikopo tena bali iwe ni pesa mwanafunzi anapewa bure.
Unajua kabisa nasomea ualimu na unajua huna uhakika wa kuja kuniajiri sasa unanikopesha ili nije nikulipe vipi?
Nisomee ualimu halafu nije nikulipe kupitia uuzaji wa vitumbua!!!??
Serikali haipo makini...
Sawa tunajikita kwenye maada mkuu, kila mtu azae kulingana na uwezo wake, je, unataka kutuaminisha kua uwezo wa kipesa wa mafuru ulikua kuzaa watoto wawili tu?
Ungesema kila mtu azae anavyotaka bila kujali uwezo wake kipesa hapo ningekuelewa sana.
Naona kama unajitekenya na kucheka mwenyewe!!!
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!
Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!
Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!
Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
Sijachangia kimahaba!!
Kama mshindi ni afande, mbona hajarejeshwa kazini?
Amri ya magufuri bado ipo palepale pamoja na kua hatuko nae!!
Afande alikua na tuhuma za unyanyasaji lakini bado akaongea na mkuu wa nchi kama anaongea na mtoto au afande mwenzie walie lingana cheo!!
Toa mahaba...
Mchakato (mechanism?) Yake ikoje?
Uongo mtupu kama ni rahisi hivyo kwanini umeegemea kwenye mambo mabaya tu?
Nikijamiiana sana na tajiri nam nitakua tajiri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.