Recent content by Kasomeko

  1. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Kama mke ni mwajiliwa hapo sawa, kumkontroo kiuchumi ni kazi. Lakini mke unampa mtaji, halafu unamwacha ajichunge kama mbuzi wa kiangazi!!! Yeye asimamie tu ila biashara iwe ya familia.
  2. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hapa wakoment walio WALIOWAHI KULA WAKE ZA WATU WALIOWAHI KULIWA WAKE ZAO. Tofauti na hapo wengi watamshangaa mtoa maada. Kula mke wa mtu huku ukijua kua ni MKE WA MTU hiyo ni dharau kubwa sana kwa MMEWE.
  3. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kumshauri rafiki angu ana penda wanawake Sana

    Unasbili shemeji yako apate ukimwi ndo umwambie kua jamaa alikua anakula sana za bar?? Ebu kamwambie leo ajue cha kufanya
  4. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Ushahidi sasa kua yeye ndie alie wakodi haupo, Kama mke kaweza kuhepuka na huyojamaa alieliwa, je haiwezekani akawa na michepuko wengine?? Je haiwezekani mihepuko yake ndio imefanyiziana kwa wivuu?? Sio kila mtu akifiligiswa mme ndo kahusika.
  5. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Ni manii ya nani?? Hakuna aliekamtwa hapo coz waliotumwa walikimbia baada ya watu kuhisi kuna tukio hapo uwanjani. Kesi ilikua upande wa mme wa yule dada alofumaniwa, alikua anahisiwa kukodi wafiraji.
  6. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Mimi naona hili ni jukumu la wote. Inaweza kutokea ugomvi kati ya mme na mke ukapelekea hasira kwa mke ambae ikitokea katongozwa kidogo tu anakubali ili alipe kisasi ama kumkomoa mme au hata ili mke apunguze hasira. Sasa mwanaume unapokutana na mke wa mtu menye hasira na mmewe ni rahisi...
  7. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Tamaaa tamaa ni mbaya sana. Nilikula mke wa mtu tulie kutana nae mashambani huko na ukweli sikuuliza kama ana mme!! Baada ya mwezi mmoja nikamwona na jamaa mmoja, akaja kuniambia yule ndo mme wake!!!!! Nikamwuliza kiaje sasa?? Siulisema huna mme?? Akajibu tulikua na mda mrefu tumetengana ila...
  8. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Hakuna mazao yanayo stahimili el nino? Mfano mpunga? Mbona kama naanza kukata tamaa maana mwaka jana nimepanda hekali mbili za migomba na ndio kwanza imeanza kubeba!!! Kuna mdau kachangia kwamba migomba itaoza!!! Shamba langu lipo mbali na nyumbani, hapo sijalimia watu kweli??
  9. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Sasa hii inaitwa kutegemeana katika mazingira. Simba ni mnyama asieweza kuishi bila swala.
  10. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    We jamaa unazingua sana Hivi umesoma historia kweli?? Matibabu ya karne hii yanalingana na ya karne ya kwanza?
  11. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Msamaha na Kisasi

    Na maana ya KUSAMEHE inakua haipo kama huwezi KUSAHAU.
Back
Top Bottom