Recent content by Kasomeko

  1. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi: Polisi ni kitu chako cha ukweli ukwelii, anayemchukia Polisi ni kama unajichukia Mwenyewe

    TANZANIA POLICE SERVICE SPECIAL THREAD ianzishwe humu wawe wanatujibu kama anavyofanya Dr D Gwanjima na Matanesiko etc Police tumieni majukwaa kama haya kuelimisha raia juu ya mambo ya kipolisi polisi, wengi hawajui taratibu mfano mtu anakamatwa kwa kufuata utaratibu gani? Ukifikishwa kituoni...
  2. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi: Polisi ni kitu chako cha ukweli ukwelii, anayemchukia Polisi ni kama unajichukia Mwenyewe

    Ukiomba hifadhi unawekwa selo au kuna lodge?
  3. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Waziri wa mambo ya ndani kisheria anaweza kusamehe wahalifu

    Sio waharifu tu, bali anaweza kusamehe hata dhambi!!
  4. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Boda aliyemuingilia Mwanafunzi wa Darasa la 3 (mbele na nyuma) - Mbande, anatamba mtaani, hatuoni dalili ya haki

    Ishu ni umasikini! Ili uishi vizuri nashauri umiliki kimoja kati ya hivi:- NGUVU (ya akili na mwili) PESA UCHAWI hapo utaishi vizuri.
  5. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Kama 600k n ndogo sisi wa #tonetone tunaishije na big families!!!?? Halafu kuoa kisa mmepeana mimba ndoa hua haziendi mbali sana labda kama mmependana kweli kweli Mwisho, sioni kama ulimoenda huyo demu kwa lengo la kuja kuoa kabisa. Ukipenda kiukweli hanaga kujipanga!!!
  6. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Watu mnasoma mnapata utamuu hadi mnasahau ku like!!!!
  7. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Agiza tangawizi kutoka kwetu kwa wingi wowote ule! Karibu tufanye biashara

    Je kama nataka mbegu?
  8. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi Mwita Milumbe adaiwa kuteswa na kuuwawa, Ndugu waomba msaada

    Mbona EN Kajitoa Na hajulikani alipo?!?
  9. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Leseni za Udereva ziwe na ukomo wa umri, kuna wazee wanapata changamoto barabarani

    Kusikia na kuendesha kuna husianaje?
  10. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania NCHIMBI AJITOKEZE AU SERIKALI ISEME ALIPO.

    Hilo jina lako linaogopesha members kuchangia uzi wako!
  11. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    PAGE YA 1 HADI 12 HAKUNA HATA MEMBER MMOJA ANAEMJUA DUCHU KIUNDANI!!!!!! Wana mbeya hampo humu??
  12. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Ndoa ya Ronaldo: Mali zake hazitaguswa wakitengana kwa sharti amlipe mkewe posho ya milioni 300 kila mwezi

    Hapa bado ni utapeli tu Mbona hatujaona jinsi cr7 atavyo nufaika na mali za jojina
  13. Kasomeko

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuhitimisha ushahidi Mkuu leo, Agosti 26, 2026 Mahakamani

    NYANZA OBEJA SANA NGALU
Back
Top Bottom