Kama mke ni mwajiliwa hapo sawa, kumkontroo kiuchumi ni kazi.
Lakini mke unampa mtaji, halafu unamwacha ajichunge kama mbuzi wa kiangazi!!!
Yeye asimamie tu ila biashara iwe ya familia.
Hapa wakoment walio
WALIOWAHI KULA WAKE ZA WATU
WALIOWAHI KULIWA WAKE ZAO.
Tofauti na hapo wengi watamshangaa mtoa maada.
Kula mke wa mtu huku ukijua kua ni MKE WA MTU hiyo ni dharau kubwa sana kwa MMEWE.
Ushahidi sasa kua yeye ndie alie wakodi haupo,
Kama mke kaweza kuhepuka na huyojamaa alieliwa, je haiwezekani akawa na michepuko wengine??
Je haiwezekani mihepuko yake ndio imefanyiziana kwa wivuu??
Sio kila mtu akifiligiswa mme ndo kahusika.
Ni manii ya nani?? Hakuna aliekamtwa hapo coz waliotumwa walikimbia baada ya watu kuhisi kuna tukio hapo uwanjani.
Kesi ilikua upande wa mme wa yule dada alofumaniwa, alikua anahisiwa kukodi wafiraji.
Mimi naona hili ni jukumu la wote. Inaweza kutokea ugomvi kati ya mme na mke ukapelekea hasira kwa mke ambae ikitokea katongozwa kidogo tu anakubali ili alipe kisasi ama kumkomoa mme au hata ili mke apunguze hasira.
Sasa mwanaume unapokutana na mke wa mtu menye hasira na mmewe ni rahisi...
Tamaaa tamaa ni mbaya sana. Nilikula mke wa mtu tulie kutana nae mashambani huko na ukweli sikuuliza kama ana mme!!
Baada ya mwezi mmoja nikamwona na jamaa mmoja, akaja kuniambia yule ndo mme wake!!!!!
Nikamwuliza kiaje sasa?? Siulisema huna mme?? Akajibu tulikua na mda mrefu tumetengana ila...
Hakuna mazao yanayo stahimili el nino? Mfano mpunga?
Mbona kama naanza kukata tamaa maana mwaka jana nimepanda hekali mbili za migomba na ndio kwanza imeanza kubeba!!!
Kuna mdau kachangia kwamba migomba itaoza!!!
Shamba langu lipo mbali na nyumbani, hapo sijalimia watu kweli??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.