Recent content by Kasomba

  1. K

    Magufuli: Ni Tanzania pekee mwanafunzi anapata division 4 kidato cha nne na anaenda chuo kikuu

    W Kwa mshangao huo ndicho kinacho tafsiriwa Na watu tulio wengi Na tafsiri hii inafanana Na ile ya Simbachawene kuwa mtu kuwa Na vyeti viwili haitakiwi jambo ambalo Kama hili ambayo Ni ngumu maana Ni groble issue
  2. K

    Magufuli: Ni Tanzania pekee mwanafunzi anapata division 4 kidato cha nne na anaenda chuo kikuu

    Mature age entry qualification ninvyofahamu Mimi imewafikisha wengi Tuu Chuo kikuu. Lakini PIA mfumo WA nacte WA NTA'S Umetufikisha wengi Na bado unaingiza wengi ( Iwe Na pass tano yaani D Na credit mbili yaani C) mfumo huu Ni Wao serikali wameuweka Na watu hadi sasa wanasoma phd njia waliyo...
  3. K

    Tuwe wazalendo na tuseme ukweli,sitting allowance za wabunge kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani?

    Wewe mbulula kwani mwalimu WA shule ya Msingi analipwa shilingi ngapi? Fahamu Tu mshahara WA mwalimu haupo fixed
  4. K

    Rais Magufuli analipwa zaidi ya alichokitaja

    N Nini maana ya mshahara Mkuu
  5. K

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Jipu ofisi ya Manispaa ya Ilala kitengo cha ardhi dirisha la malipo ya leseni za makazi na kuongeza muda. Mfano leseni yako inasoma kodi yako ni Tsh. 12,700/= pale utaambiwa ni Tsh. 32,700/= pia kodi ya kuongeza muda wa leseni ni Tsh.5,000/= ila Wao wanatuchaji tsh. 10,000/= ilhali risiti...
  6. K

    Madaktari wa Mwanza wanaipima Serikali?

    Kweli mkuu wanasiasa wanawapa kiburi wanajamii katika masuala ya kitaaluma. Na Jamii ikiendekeza hayo tunapotea maana wao wanafuata sheria ila wao wanabomoa Ili wajenge kwa kuonekana kwenye macho ya jamii
  7. K

    Ni wenye akili tu wanaomwelewa Makonda katika hili!!

    P Punda kumpeleka mtoni Si Kwamba atakunywa Maji . Think twice Makonda
  8. K

    Rose Odinga asipotuomba msamaha, Watanzania tutampa adhabu hii

    Kuna mtu mmoja ndani ya nchi za afrika masharuki aliyewahi kuwa kiongozi WA nchi alisema watanzania Ni marehemu wanaotembea ila Si mkumbuki kwa hali hii Kama inajirudia vile. Nashindwa kuelewa wanatuchukuliaje sisi watanzania?
  9. K

    Madudu ya Ufisadi Manispaa ya Ilala

    PIA malipo ya leseni za makazi. Kodi ya kila mwaka imeandikwa mle kwenye leseni ila ukifika pale kulipia utasikia kodi imepanda sasa utalipia tsh. 22 kwa kila meta square lakini hapo hapo kiwango wanacho kutajia ulipie Ni tofauti Na maelezo Yao. PIA kulenew leseni ilikuwa Tsh. 5,000/= lakini...
  10. K

    NECTA mnawaonea watoto

    Kwenda kidato cha tano haita wezekana hadi uwe Na C tatu hapo rudia mtihani Ili upate moja ualimu inategemea umemaliza mwaka gani
  11. K

    Mheshimiwa Rais una imani na Jeshi la Polisi lakini...

    Ungekula virungu mbaka ulegee
Back
Top Bottom