Recent content by Kaskizi

  1. K

    Msaada: Dawa za kienyeji za kutibu kuku

    Wanajamvi wenzangu ningependa kufahamu dawa za kuku wa kienyeji za miti shamba zinazokinga na kutibu magonjwa yafuatayo na namna ya kuziandaa. 1. Mdondo 2. Kuharisha(kinyesi cha kijani) 3. Kideli
  2. K

    Viagra, sildenafil citrate niipate wapi?

    Mkuu inaonekana uko vizuri sana katika hili. Mi nna tatzo hili la mawacliano kukata nikiwa ninasex. Lakin pia huwa nnashinshindwa kumaintain erection yangu kabsa. Kuna kipindi huwa nashindwa kusex kabsa maana huwa nikifikisha tu pale kwa vagina kitu kinalala, na nikifanikiwa kuingiza naweza...
  3. K

    Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

    Kwa tatzo hilo dawa yake kubwa ni matunda jamii ya Ndizi, Mapapai au Maembe. Pia mwambie atumie Maji kwa wingi. Mi lishawai kunipata tatzo hilo hvyo nilivyokutajia ndivyo vilivyoniponyesha.
  4. K

    Msaada jamani katika hili

    Mkuu hii Ocean plus ni ya kutibu au kuongeza nguvu tu wakati wa kusex...???
  5. K

    Msaada jamani katika hili

    Kuoa cjaoa bado mkuu. Yaah nilivyokuwa sekondari nilikuwa nikipiga punyeto mkuu. urefu wangu una range kati ya cm155-160. Uzito wangu ni kilo 61.
  6. K

    Msaada jamani katika hili

    Tangu nilipoanza kumjua mwanamke nikiwa na umri wa miaka 16.
  7. K

    Kwa miaka 47 kati ya 50 ya muungano, Zanzibar haijachangia fedha

    Kwan fedha inatumia Zanzibar ni IPI??? Unataka ilipwe nn wakati sarafu waliochangia kuiunda na wao ndo wanayotumi. Hiv unajua kazi za benki kuu ni zipi..?? Kama unazifahamu ebu nitajie ni kazi gani kati ya kazi za bank kuu ambazo Zanzibar wanazifanya mpaka waitaji kulipwa.???
  8. K

    Msaada jamani katika hili

    Hz dawa mkuu zinatibu kabsa au ni za muda fulani tu... Maana kuna nyingine za namna hyo madokta waliniambia ukifikisha wa miaka 40 ndo inakuwa basi tena..kama vile ELECTRAL. Hizi side effects/long run effects zake zip..??
  9. K

    Msaada jamani katika hili

    Nashukuru mkuu.
  10. K

    Chadema na ushindi wa kisayansi

    Cdm inawaumiza vichwa watu sana.
  11. K

    Kwa miaka 47 kati ya 50 ya muungano, Zanzibar haijachangia fedha

    Mtu yeyote yule anaetumia maoni ya mtu fulani, iwe mtu aliyetoa maoni hayo ni mwanadini au kiongozi fulani. Akayahusishanisha maoni hayo na hotuba ya raisi kwa madai ya kwamba kiongozi huyo ama mwanadini huyo ndiye anaehitaji serikali 2, yapaswa kumuogopa kama ukoma. Mtu kama FAIZAFOXY ambae...
  12. K

    Kwa miaka 47 kati ya 50 ya muungano, Zanzibar haijachangia fedha

    Nadhani kinachowasumbua waliowengi ni uwelewa mdogo wa muungano wa mwaka 1964. Labda tukumbushane hv, muungano wa mwaka 1964 ulikuwa wa serikali mbili, nchi moja. Na muungano ulikuwa na maeneo yake, kwa maneno mengine kila serikali kunabaadhi ya mambo ilikuwa inajiamulia pacpo kuingiliwa na...
  13. K

    Nataka serikali mbili tu.je wewe kwanini unataka serikali tatu.

    Baada ya hotuba ya raisi wetu hasa katka suala la muungano nilipata jibu ni kwanin uongozi wake umekuwa wa kuyumbayumba sana. Kikubwa ni uwezo mdogo wa kuyaona mambo na kuyatafutia suluhisho alionao. Katka maisha huwezi kujifunza kutoka kwa walioshindwa hata cku moja..na kama utajifunza kutoka...
  14. K

    Nataka serikali mbili tu.je wewe kwanini unataka serikali tatu.

    Kabla ya kujibu hilo swali lako LA mapato... Ebu kwanza nijuze katka hili. Je unafahamu muungano wa Zanzibar na Tanganyika wa mwaka 1964 ulikuwa wa namna gan??
Back
Top Bottom