Kisheria stand Iko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri au Jiji.Wakurugenzi huwa wanaainisha kituo cha mabasi/stand na kuijulisha mamlaka ya usafiri Ardhini(LATRA).Kwa kifupi LATRA hausiki moja kwa moja na stand hizo.Hata hao wenye stand binafsi hawaombi vibali LATRA wanaomba kwa wakurugenzi wa...
I think ana akili kuliko wewe.Hebu weka vyeti vyako hapa nikuthibitishie jinsi ambayo wewe mwenye rundo la vyeti anakuzidi parefu na vyeti vyako.Always watu waloshindwa huangaika na maisha ya watu kuliko kufanya wanayopaswa kufanya.Mimi sijui kama ana vyeti lakini nakushauri fight for your life...
Marriage life au mapenzi kwa ujumla wake yana mambo mengi,unaweza kuoa asiyesoma ili umpelekeshe upendavyo lakini utakosa challenge na ushauri pale elimu inapohitajika,unaweza pia kuoa mwenye elimu ukidhani utapata heshima lakini akawa hana ufundi wa mambo yetu kitaandan ukaishia kufuata wale...
Kuna jamaa zangu toka kanda flan kwa vyovyote watasapoti kuwa govi ni dili coz wao hawakatwagi,kubali usikubali govi si issue maze,wadada mpo huku tuambieni ukwel govi na cone kipi kitamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.