naomba kupata ushauri hasa kwa walioana,,, je nni mda gani muafaka unaweza kukaa na mpenzi wako kabla ya kuoaana? mf miaka 2? 5? miezi6? au? naomba ushauri,,,
oh poor lady,,,, umefanya kosa sana,, kama kweli unampenda mumeo,,, ebu mwambie kabisa,,, kwani siku akigundua,, unalo!,, alafu hata hiyo appointment uliyofanya ulikosea kinoma,, what if mmeo angekuja kazini na asikukute? na si mda wa kutoka? ungemweleza niin? open mind will let u free
inatia huruma sana,,,,,, kumpenda usiyemjua kwani unaongozwa na hisia,, jipe moyo,,, go straight approach the person,,, in a way ya kumchunguza zaidi,,, unaweza kuta si ndivyo udhaniavyo,,,,
best wishes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.