Recent content by kasheije

  1. K

    JamiiForums Tanzania Usimamizi wa 'Mikopo ya Dharura kupitia simu' nchini Tanzania

    Ahsante sana mjomba,karibu waniingize cha kike!!!. ,
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wakili Kisabo alalamikia Magereza kumnyima faragha alipomtembelea Lissu gerezani

    Kinachogomba hapa,sio fadhila au hisani ya Bwana jela, bali sheria inasemaje.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Usimamizi wa 'Mikopo ya Dharura kupitia simu' nchini Tanzania

    Kuna mikopo inayotangazwa sana mtandaoni kuwa inatolewa fasta na Mohamed Dewji baada ya kuomba mkopo kupitia mtandaoni. Unatakiwa kutanguliza karibu asilimia kumi ya thamani ya mkopo unaotaka kama dhamana. Kwa waliowahi kushiriki aina hii ya mkopo naomba kufahamishwa je ni kweli mkopo wa aina...
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Siku hizi wanaruhusu talaka. Na baada ya talaka unafunga ndoa na mpenzi mwingine kidini.
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Mambo yalishabadirika kitambo, Roman Catholic siku hizi wanakubali talaka. Wana mahakama zao na wanasheria wao,kesi zanasikilizwa na hukumu inatolewa. Nimeshawahi kuhudhuria ndoa takatifu ya jamaa yangu aliyetalikiana na mwenzake katika ndoa ya kwanza. Baada ya mmoja wao kudai talaka kwenye...
  6. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Victor Mhagama ahojiwa na TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa katika mchakato wa kura za maoni jimbo la Peramiho

    Wanajitekenya na kucheka wenyewe. Mwisho wa siku jina la mtuhumiwa litaibuka kidedea. Only in Tanzania.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hiyo Marekani inayozuia watu kuingia ni ipi? Ni hii inayotetea ulawiti au nyingine?

    Hivi watu wanalilia nini mpaka wanalazimisha kujipeleka wenyewe kwa Mafilauni wa Trump. Tuanzie hapo,mbuzi kujipeleka kwa mchonjaji.
  8. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu: Msajili wa Vyama, hana mamlaka kufungia/kufuta vyama chini ya muda wa miezi 12 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Tofautisha kati ya Chama na Kiongozi wa chama.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Nimeona nakala ni moja tu kwa IJP,lakini sikuelewa ni nani huyo.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Njiti ya kiberiti imetupwa kwenye petroli. Sasa ni Bishop Gwajima for president! Nenda baba, nenda

    Nileteeni Gwajima Namtaka Gwajima In Magufuli's voice.
  11. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHAUMMA kitapata wabunge wengi Bara kuliko vyama vingine vya upinzani

    Hawana msaada wowote zaidi zaidi kutuongezea gharama za maisha walipa kodi,kama ilivyokuwa kwa Covid-19.
  12. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHAUMMA kitapata wabunge wengi Bara kuliko vyama vingine vya upinzani

    Huko Kenya hawanaga mambo ya vyama,wanajali mtu.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Aliyewaloga Watanzania awasamehe maana inatosha sasa!

    Hayo unayoyasema hayapo Tanzania tu,bali ni ulimwenguni kote. Basi kama ni kulogwa hatuko peke yetu.
  14. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA kama Chama cha Siasa mmefanya kosa kubwa sana kususia Uchaguzi

    Uchaguzi au uchafuzi,acha utani kwenye mambo mazito ya mstakabali wa taifa.
  15. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nusrat Hanje atangaza kuhamia CCM

    Sheria alizivunja kitambo pale alipotoroka lupango usiku wa manane,na kwenda kuapishwa gereji na Ndungai kuwa mbunge.
Back
Top Bottom