Kama unafanya kazi zidisha bidii upandishe kipato alafu utaona hadi utasahau kuolewa na mtu akitaka kukwambia ndoa utakataa hadi atakubembeleza kwa gharama kubwa ambayo hatoweza kukuchezea na wakati huo utaona mwenye nia njema ambaye tayari amesha wailiza wazazi na viongozi wake wa kanisa sio...
Ngoja ni kwambie kitu wewe inawezekana umekaa tu eti unasubiria kuolewa. Ni kweli mwanamke huoelewa lakini tendo hili automatic jaribu kujifanya hujui kama wewe ni mwanamke wa kuolewa alafu jifanyie yako maana sijasikia ukitaja kazi zako.
Nakuhakikishia ukiamua kufanya kazi zako kama biashara au...
Nasikia tayari bwana jpm amelipa tsh 200000 kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu ni 250000
Za waratibu zimewekwa katika acc za shule inayobeba jina la jata yake na zimewekwa kwenye acc ya shule maana ni za mwalimu mkuu na si mtu fulani ila cheo. Hongereni wenye vyeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.