Recent content by kasengacate

  1. kasengacate

    Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

    Kariako kilikua ni kituo cha kupakilia watumwa ambapo askari wa kikoloni walifanyia pia biashara ya watumwa na kukiita kituo hicho Carrier Corps...sisi tuka simplfy Kariakoo
  2. kasengacate

    Wema Sepetu awa kama Kanumba

    Sipendagi kuwadiscuss watu stupid kwenye ishu za Tanzania yangu,anatafuta bwana nje huyo hamshituki tu!..filamu gani zakuonyeshana mapaja ukimwambia acheze kama house gal hataki...filamu Nigeria bongo copy & pest that's all.
  3. kasengacate

    Mkakati wasukwa kuwaondoa Lowassa na Membe urais 2015

    CCM nacho Chama Jamani?Imetudhurumu Maisha Yetu Sana,Huu Ndio Mwisho Wao Wakitaka Ushindi Basi Wamshushe Yesu Aje Agombee, Wezi Sana,Hata Nyerere Alisema Wananchi Wasipopata Maisha Mazuri Ndani Ya CCM Basi Watayatafuta Nje Ya CCM...Walipuuza Maneno Ya Baba Wa Taifa.
Back
Top Bottom