Habarin wanajamii mm nasumbuliwa na kitu kama acid kooni unakuwa unahisi kama kitu kimekukwama
Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya tumbo wakasema ninayo nikatumia dawa za hospitalin na asali nikaenda kupima nikaambiwa sina japo tatizo...
Habarin wanajamii mm nasumbuliwa na kitu kama acid kooni unakuwa unahisi kama kitu kimekukwama
Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya tumbo wakasema ninayo nikatumia dawa za hospitalin na asali nikaenda kupima nikaambiwa sina japo tatizo...
Habarin wana forum mi ni mkazi wa kigoma wilaya ya kasulu mjini kwa anayefahamu gharama ya mashine ya kusaga kwa kipindi hiki ipoje na kuhusu faida pamoja na hasara, na gharama za kuvuta umeme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.