Recent content by KARIMUU

  1. K

    Mwenye Mawasiliano ya Rais Kikwete amjulishe hili

    Nadhan nao wataandikishwa kwenye daftar la kupga kula ili wapate nafas ya kukipgia kula ccm wabongo wanasema silence campainiiii, jiulze miaka yote walkua wap? Kuna siri kubwaaa
  2. K

    Wageni wengine bhana ni kero tupuu!

    Habari wana JF. Kuna usemi usemao "mgeni njoo mwenyeji apone" lakini kuna baadhi ya wageni sio wote ukiwakalibisha home inakua ni kero mpaka unatamani siku za kuondoka zifike asepe zake. Kuna baadhi ya wageni tunaowakaribsha majumbani kwetu au gheto kwa sisi vijana kusema kweli ni wavivu alafu...
  3. K

    Tunauza batiki na kufundisha jinsi ya kutengeneza...

    Kjfnza sh ngp nna mdogo wang nae aje achkue coz kwako au nitafte kwa 0718371960
  4. K

    Hii tabia inakela sana kwa baadhi ya watu sijui ni ulimbuken au la!

    Na usiombe usafr na wasukuma wanaongea utadhan wamekod gar af ukikaa nae karb mpaka mate yanakudondokea
  5. K

    Hii tabia inakela sana kwa baadhi ya watu sijui ni ulimbuken au la!

    Kuna baadhi ya watu bhana wana mijitabia ya kushangaza sana, na hapa nataka nizungumzie tabia za wat hasa tunapokua kwenye vyombo vyet vya usafir yaan daladala au mabasi yaendao mikoan. Unakuta mtu anachukua sim anaanza mpgia mtu mara oh nipo njian nafuata gar yang bandar,mara oh naenda...
  6. K

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Natragen wez tu m nltmia lkn hata ckupata nafuu na kuna rafk ang alitumia kaambulia kuota maupele mwl mzma
  7. K

    Usaili Utumishi, mnapimaje ubora wa mtu kwa maswali mawili?

    Juz kwenye usail wa afsa ustaw wa jamii wat walcomplain kua kuna wat wenye vsim vyao walkua wana google na wanapata majb sa imekuwaje leo wana jf hiyo nafas haikuwepo au kulkua na usmamz mkal?
  8. K

    Watumishi 1,360 wakutwa na vyeti feki

    Na wale wa kada ya police waliofukuzwa wakiwa mafnzon mbona hatujaskia hatua zilizochkuliwa? yaan wat wenye sifa na vgezo na vyet vyao vizur wanaachwa sabab ya undugwalisation yaan hii nchi yet jaman kwishnei aise
  9. K

    MV Victoria yanusurika kuzama karibu na Kemondo Bukoba

    Mi sion sabab ya kuendelea kutmia huu usafr wa mel hii coz imechoka mpka inatia aib vtanda vbov mpaka kungun, mende,chawa vyoo vchaf wat wanashndwa kpanda mabas et mel bei rahs wakt tofaut ya naul n kama 6000 nyie wahaya nyie tutawazka na mikung yen hiyo ya ndz
  10. K

    MV Victoria yanusurika kuzama karibu na Kemondo Bukoba

    Mwakyembe aliambiwa hiyo meli ishachoka kasema nzma sa wasubl tena yalyotokea 1996 na hii itakua zaid coz mpaka kuna siku iliwaka moto lkn ndo kawaida ya nchi yet mpaka tatzo litokee ndo wanaanza kuleta njia mbadala au ndo wanasubl kutoa kafala ya uchagz 2015 ndo maana hawatak kuizuia hiyo mel...
  11. K

    Nimeanza Kunywa mkojo leo kujitibu madonda ya Tumbo

    Hata m ni muhanga wa ugonjwa huu nshatumia dawa nying kama Natragen lakn sion dall yoyote ya kupona na inauzwa bei ghar kwel lakn nmeamn hawa jamaa wanakula hela za watu bure sa nmeambiwa niende Kairuki Hosptal et wana dawa nzuri lakin nahs yatakua yale2 sa naomba ambae anafaham dawa nzuri ya...
  12. K

    Ajira za ualimu miaka 3 ijayo.

    Mbona hata postgraduate wana masomo ya kfundshia coz wanasoma masomo mawli ya kfundshia usiwakatishe tamaa vjana ajira sio mpaka uajiliwe serikaln kuna shule nying za binafs kila kukicha znatafuta walim
  13. K

    Tahadhari kuhusu tapeli Peter Myaka na wenzie

    Hiyo namba ya kwanza kajsajr kwa jna la n|a sjui ndo nn hiyo
  14. K

    Asili-t formula 8 herbal immune booster medicinal & nutrisional herbs

    Vidonda vya aina gan na imedhibitshwa na tbs au?
Back
Top Bottom