Recent content by Karimama

  1. Karimama

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Ukimwangalia usoni, wakati anatangaza Baraza la Mawaziri, utagundua si Magufuli yule tuliyezoea kumuona akiwa mchangamfua na mwenye mori wa kusema kile anachoamini. Leo amekuwa Magufiuli mwingine kabisa. Amepooza, anaonekana kama aliyekuwa akijisukuma wakati alipotaja baadhi ya majina ya...
  2. Karimama

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Ukimwangalia usoni, wakati anatangaza Baraza la Mawaziri, utagundua si Magufuli yule tuliyezoea kumuona akiwa mchangamfua na mwenye mori wa kusema kile anachoamini. Leo amekuwa Magufiuli mwingine kabisa. Amepooza, anaonekana kama aliyekuwa akijisukuma wakati alipotaja baadhi ya majina ya...
  3. Karimama

    Je Rais John P Magufuli anatimiza Sera na Ilani ya CCM? Mbona kuna haya?

    Umetumia akili sana. Walidhani business as usual kumbe aliyeingia si kipofu tens. Aibu yao.
  4. Karimama

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Waziri Mkuu anafanya ziara za kushtukiza mahali, huki akiwa na karatasi lenye tuhuma specific, lakini amelificha!, anakwenda kumuuliza mhusika wa pale kuhusu utendaji wa mfumo fulani, anaelezwa kuwa mfumo uko perfect, kisha analiibua hilo kaatasi lenye tuhuma na kuanza kumsomea mhusika mbele ya...
  5. Karimama

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Mkuu bado Milembe kuna uhaba was dawa? Pole sana.
  6. Karimama

    Orodha ya Majimbo ambayo CCM wameyapoteza mpaka sasa

    Matokeo ya Kawe bado hayajatolewa, ila Halima James Mdee anaongoza kata nyingi.
  7. Karimama

    Lowassa ashindwa kujibu madai yake ya kwenda Vita vya Kagera

    Lowassa alipoelezea kwenda kwake vitani, alieleza kuwa alipewa kazi maalum, ni askari maalum wa KIWANGO maalum walikuwa kwenye kazi maalum mfano wao, akiwemo EL, yupo pia captain Tamim, na ndio maana hakutaka kulieleza hilo kwa undani. Captain Tamim aliasi jeshi na baadaye aliuawa pale Kinondoni...
  8. Karimama

    Hongera wasanii maarufu wa CCM

    Kwa hiyo ulipata ubwabwa? Ndio maana unatoa hoja za kuvimbilwa! Hivi ni kweli kabisa kwa akili yako unaamini Rais alistahiki kufanyiwa 'send-off' ile? Kwa lipi kubwa alilowafanyia wasanii? Ile 'studio hewa' waliyoiteka kina Runge au? Halafu kweli kwa akili zako 'nyingi' kiasi hicho unafikiri...
  9. Karimama

    Hongera wasanii maarufu wa CCM

    Mbona povu jingi? Zingatia hoja sio kutoa povu tu. Ulikosa ubwabwa nini kwenye 'send-off' yenu?
  10. Karimama

    Hongera wasanii maarufu wa CCM

    Habari kwamba wasanii maarufu wa Bongo wamemfanyia 'semnd-off' JK na kumualika pia mgombea urais wa CCM, JP Magufuli, inaamsha hisia za huzuni kubwa kwangu na pia kwa wengine wenye mtazamo mpana. Kwa tathimini ya chini kabisa, juu ya maandalizi ya 'send-off' ile, ni lazima wasanii hao walitumia...
  11. Karimama

    Kingunge Ngombale Mwiru anafahamika kwa “usaliti” wa chinichini kwa mamlaka za juu na kwa chama,

    Pambafu :A S angry:! Makala ndeeefu! Ila mwanzo mpaka mwisho haionyeshe usaliti wa Kingune bali inaonyesha ushujaa wake ikiwa pamoja na kukataa mswada wa 'kipuuzi' uliopelekwa na serikali ya TANU bungeni.
  12. Karimama

    Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

    Anakuja na mtaji wa kura 800,000 (laki nane) za wale wanachama wa CCM waliomdhamini. Duuuh! CCM kama wanajuta vile!
  13. Karimama

    Nape: Kingunge afanye anachotaka

    Inahitaji akili kutumia akili kujibu kwa akili na bila ya akili huwezi kupata akili ya kujibu kwa akili. Nape ameonyesha kuwa zake hazina akili ya kujibu hoja za mzee Kingunge na amebaki kuonyesha hisia tu kuwa mzee Kingunge aliyemfunza siasa mtu ambaye Nape anamuita 'baba', mzee Mnauye (kama...
Back
Top Bottom