Recent content by karim kindole

  1. karim kindole

    B.A in Geography and Enviromental Studies

    People are serious may'be you are not serious let me tell u something. Ukiwa nje ya ndoa utataman uingie ndani ya ndoa bila kujua yaliyopo. Kiukwel ukiwa shule unasoma uku ukiwa na malengo yako lakin kama mjuavyo shule na ajira vitu viwili tofauti. Me nkiwa shule nlikua napenda kuja kusoma PSPA...
  2. karim kindole

    Bach.geography and environmental sttdies

    Na vipi kuhusu bach of art in project planning management and community development
  3. karim kindole

    Bach.geography and environmental sttdies

    Rehma na amani ziwe nanyi. ndugu zangu naombeni dodoso kuhusiana na kozi ya geography and environmental studies. Unaweza kufanya kazi wapi. soko lake la ajira. uzuri wake na mapungufu yake Shukrani...:::
  4. karim kindole

    Tanzania Commision for Universities- kujitoa kwa MOROGORO ISLAMIC UNIVERSITY

    Kuna watu kaka wanaongea bila vivid example af pia wanapenda kuropoka na ktk jamii ya waerevu waropofu hawadumu. swal zuri sana kama alipata form 4 dvs 0 advance aliendaje au kuna watu wakitoka form wanaenda chuo kupata degree.........?
  5. karim kindole

    Umechaguliwa wapi? Kutana na Wanachuo Wenzako!

    Udom bach.geography and environmental studies
  6. karim kindole

    Logistic and Transport Management, National Institute of Transport

    Guys kwa first year NIT kinafungua tar ngapi na je utaratibu wa kubadili course ukoje pale chuoni
  7. karim kindole

    Tarehe ya kuripoti chuo kwa undergraduate

    Yan kuna watu wehu sana humu Jf mtu anauliza kwa lengo la kutaka kujua linatoka JINGA linajichetua kujibu MAJIBU YA KUNYA kwani lazima ucomment ka unahis post hujaipenda why dont u stay en se'how othr thy cn help...!!! Tatizo kuna watu humu washamba ata elimu ya vidudu haijawakomboa
  8. karim kindole

    Kwanini watu wa mikoa ya Mbeya, Iringa na Njombe wengi wao ni weusi sana?

    Kwa uelewa wang wa geographia mtu kua mweusi haisababishwi na single factor like barid. Ziko baadh ya factor like humidity (unyev nyev ktka hewa) mfan mzuri watu wa kilimanjaro kuna barid lakin pia humidty n kubwa katka hewa ivyo haiwaathiri sana kama watu wa kusini ambapo kuna baridi sana pia...
  9. karim kindole

    Admission post zinatoka lini?

    Ila kwel watu weng walikimbilia udsm udom na mzumbe ambvyo compttn ni kubwa kwangu me kwngu nlijiekea NIT. UDOM. UDSM . MIPANGO NA MZUMBE so nltarget kote kote na nimepata so nasubir tu nijue wamenipangia wapi
  10. karim kindole

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Hapana bob nliweka code vizur nakumbuka had tar 30 ya agost nlilog in nkakuta mambo fresh ka nlvopanga bt baada ya hapo kuja kuangalia ndo nakta ayo madudu ata sielew ofcoz
  11. karim kindole

    Naweza kubadili course niliyochagua TCU?

    Thnx ndugu yangu thnx kwa mawazo
  12. karim kindole

    Naweza kubadili course niliyochagua TCU?

    Rehma na amani ziwe juu yenu. Guys nahitaji msaada wenu nimemaliza form six 2014 nimeapply TCU bt first selection nliomba logistics and transport management (NIT) but unfortunately nime'login nakukuta ile first selection ni procurement and logistics management(NIT) yaani sielewi hata imekuaje...
  13. karim kindole

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Dah wadau me nliomba iyo course ya logistics and transport management bt dakika za mwisho sielew nin kimetokea kwnye account yang ya TCU nimekuta the first selectn ni procurement and logistics management instead of logstics and transport management. So nimeshindwa kubadili tena mana tayar...
  14. karim kindole

    Naweza kusoma Master of Arts, kama sikuisoma kwenye Bachelor?

    Hebu nijuze kwanini unataka ukasome masters ya uchumi...? Je wewe ni muajiriwa unataka ukaongeze ujuzi...? Au umemaliza degree mtaani pagumu na ajira hakuna...? Nifahamishe tafadhari...!!!!
Back
Top Bottom