Amekuta vyuo 10 bora sasa viko 50 hovyo
Amekuta sekondari chache bora sasa kuna maboma ya kukusanyia watoto wa masikini walipakodi kila kata kwa miaka minne wakisubiri Div.5
Kwa mjinga kila kinachoongezeka hapa Tz ni mafanikio ya ccm.Haya twende na akili zao
Ongezeko la bei,ongezeko la...
Wanajf,
Kama ikitokea kuiunga mkono CCM kwenye mgombea Urais ikiwa sitaridhika na mgombea wa Upinzani ni Mzee Jaji Warioba.
Mzee Warioba ndio mtu pekee aliyebaki CCM mwenye sifa ya kuwa Rais wa JMT na wala sio hao wanafiki waliobakia.
Kuhudhuria misiba sio kipimo cha uzalendo. Kwani Wasira na Mkono si ndio walikuwa wanamtumia zzk kkuhujumu cdm? nilidhani mambo yaneisha kumbe bado hujuma zinaendelea? Kazi kwenu mnaoota bdoto za kuiua cdm kwa kupitia zzk. Pole sana zitto ila waambie akina Wasira waache kukumaliza kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.