Nimeridhika na majibu yako!,tena umefanya jambo la msingi sana!,maana mm nimewasikia baadhi ya wadau wa "green part" wakidai eti ww ulikuwa umefeli chuo kkuu!
Tena ndio mada wanayojivunia ili wakuchafulie cv yako!,majibu yako ndio aibu yao!"BIG UP":yo:
Cku nyingine unatakiwa kufunguka vyema ili nac wadau tukuelewe!,unaposema mwl wa computer!,unamaanisha nn?,je ni mwalimu wake computer? au mwl mwenye ujuzi wa computer au mwl atakaye fundisha somo la computer au mwl anayefundisha computer ?!,yani nashindwa kukuelewa kijana!
Hbr zenu wana jf!,nami leo ktk hili nachangia kama ifuatavyo:
Swala la kudengua kwa wanawake ni lakawaida!,hata awe na sura yoyote ile!,kudengua kwao ni dli!,na kama wakwako hadengui basi atakuwa na matatizo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.