Recent content by KAPULYA MDADISI

  1. K

    SMS chochezi: Timu ya IT ya Miraji Kikwete yaanza kazi

    Hizi sms hata mimi nimezipata. Wazo pia la kuwashtaki tcrs nimekuwa nalo kwa sababu hawa watu ni waizi na chunguza ile sms ya ccm inakula hela yako yaani unailipia wewe bila kujua. Kwa nini nikiweka voucher kwenye simu yangu ndio sms za kijina zinaingia kama utitiri. Jamani tuungane dhidi ya...
  2. K

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Kuna mambo yanawachanganya watu wengi. 1. Je? Ni ugomvi kati ya waislam na wakisto? 2. Ni ugomvi kati ya waarabu na wazungu 3. Ni ukomvi wa kutaka au kukataa kutawala au kutawaliwa 4. Ni ugomvi wa raslimali? Haya ni maswali huwa najiuliza mara ninaposikia vita dhidi ya ugaidi. Kwa nini ukitaja...
  3. K

    GE2010 Slaa amtaka Shimbo kueleza zilikokwenda sh bil 155 za Meremeta

    Leo asubuhi clouds wamepiga wimbo wa jakaya kikwete kwa ajili ya birthday yake. Lakini sehemu kubwa ya wimbo ni kampeni badala ya birthday. Nilikuwa nawaamini gerald na babra lakini leo nimewaona hovyo!!! Acheni unafki!!
  4. K

    GE2010 Slaa amtaka Shimbo kueleza zilikokwenda sh bil 155 za Meremeta

    Hivi jamii forums huwa wanafuta posts zingine? Nilipost sababu kumi kwa nini kikwete amelaaniwa na kwa mshangao wangu imefutwa haipo!!!! Nini maana ya kutoa mawazo kwa uhuru au na wao wamenunuliwa?
Back
Top Bottom