Recent content by KAPONGO

  1. K

    Kwako Lissu; Kwenye public speeches na Live interviews kunahitaji Sanaa ya kuusema ukweli na kuepuka UKALI wakati usio sahihi ili kushawishi watu

    Anayedhani mtoa hoja kaitoa muda usio mwafaka ndiye aliyekosea. Ametoa hoja muda mwafaka baada ya kumshuhudia mbeba maono akihamaki kwa kudodoswa kidogo tu nje ya fikra na matamanio yake! Na alisahau kuwa wahariri na wanahabari ni wadau muhimu wa kuwashirikisha katika kuufikia umma.
  2. K

    Kwako Lissu; Kwenye public speeches na Live interviews kunahitaji Sanaa ya kuusema ukweli na kuepuka UKALI wakati usio sahihi ili kushawishi watu

    Political rhetorics!!! Wakati wengine Tanzania ndio nyumbani na hakuna nchi mbadala ya kukimbilia, wengine wapo nchini kama 'waseja'...wake na watoto wao wapo mafichoni ughaibuni.....
  3. K

    Kwako Lissu; Kwenye public speeches na Live interviews kunahitaji Sanaa ya kuusema ukweli na kuepuka UKALI wakati usio sahihi ili kushawishi watu

    Ile 'nonsense' kwa Balile was 'a fatal mistake' a serious politician can publicly dare to commit! Time will tell.
  4. K

    Kwa mtazamo wa Kidini. Je, mwanamke anaweza kuwa Rais?

    Sheikh anazungumzaa katika 'context' ya kiimani..wa Dola Kiislamu inayoongozwa kwa Sharia, hazungumzii katika mfumo wa uongozi wa kisekula..
  5. K

    PreGE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

    And that's democracy per se! different people, different lines of thoughts. but they must co-exist in harmony despite their differences in their world outlook!
  6. K

    PreGE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

    Hujawaelewa wahariri. Wahariri walimpa TL fursa adhimu ya kufafanua zaidi msingi wa hoja za Chadema za 'No reform, No elections", na walidodosa kubainisha jinsi msimamo huo ulivyo vigumu kutekelezeka katika mazingira na utamaduni wa kitanzania... Bahati mbaya TL alipofikishwa kwenye...
  7. K

    Dulla Makabila: Naomba upinzani wasichukue nchi kwanza hawajitambui

    Heshimu mawazo yake...Heshimu uhuru wake wa kutoa mawazo yake, hata kama yanakinzana na mapenzi na mtazamo wako. Ndio demokrasia yenyewe! Unachokipenda wewe siyo lazima wengine wakipende!
  8. K

    CHADEMA kujiandaa kumjibu Rais Samia ni utovu mkubwa wa adabu

    Huenda Viongozi wa Chadema wanakutana ili kutafakari kwa pamoja ujumbe wa Rais Samia kwa umma, na kuangalia cha 'Kumshauri' ...na si kumjibu, kwani 'hawakuulizwa'.
  9. K

    Yanga kwenda kucheza CAF champions Zanzibar, JKU na UHAMIAJI wamekataa kuchezea Zanzibar, Kuna nini?

    Achana nao hao Makolo wenye husda! Yanga ndiyo inayoonesha njia tangu zama za kale dahali zilizopita... wengine wataiga tu!
  10. K

    Yanga kwenda kucheza CAF champions Zanzibar, JKU na UHAMIAJI wamekataa kuchezea Zanzibar, Kuna nini?

    Usipotoke kama babu Magoma, anayepotoka kuwa Yanga ni mali yake. Yanga ni ya mali ya wanachama ambao wametapakaa Tanzania yote, ikiwemo Unguja na Pemba. Klabu ina dhima na sababu ya kuwajibika kuwapelekea burdan wanachama wake kwa kadri fursa inavyopatikana.
  11. K

    Rais Samia bado hujachelewa, unayo nafasi ya kuwaonesha Watanzania ulipotoshwa, fukuza haraka muandishi wa hotuba zako

    Katika kipindi hiki Rais anahitaji kuzingatia utawala wa haki, unaozingatia sheria, tamaduni, miiko na uhuru wa raia wanaotambua kuwa unapoishia uhuru wake ndipo uhuru wa mwenzake unapoanzia. Wakati huu si wakati wa kuchekea 'vikundi vya watu' vinavyopandikizwa kuleta mitafaruku na uvunjifu wa...
  12. K

    PreGE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

    hata huko kwao kuna mauaji na unyama mwingi unafanyika. Pia amewataka watambue kuwa uhai wa kila Mtanzania ni muhimu....wakemee na vibaka, watekaji maalbino na watoto, siyo kubagua wanaowataka wao tu!
  13. K

    PreGE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

    The Commander-In-Chief, and the President of the United Republic of Tanzania has spoken loud and clear!
  14. K

    Mtiririko wa tarehe zilizotajwa na mwanasheria wa Yanga kuhusu Kagoma unakataa, na ni aibu kwake na Klabu yake

    Kuna Watu huwa wanakopa akili za uzuzu kuhalalisha fikra zao potofu!
  15. K

    Kutekwa na Kuuawa: Je iundwe Tume ya Kijaji iliyosheheni Wazalendo kuchunguza au Waitwe Scotland Yard kutoka Kwa Mabeberu?

    Hata Nyerere hakuwa malaika! Alikuwa na makandokando yake yaliyolalamikiwa kila uchao!
Back
Top Bottom