Huku tunajitambua bana. Hatutaki mchezo katika haki yetu....!!!!! Huko bara kaeni na kukubalikubali kwenu...!!! Asa sijui Sheria inafatwa hapa au ndo ubabe tu basi....!!!!
Huku kaskazini Unguja hali ni shwari sana. Kila mtu anafuata utaratibu kama ulivyopangwa. Propaganda zipo zinazotangaza yasiyotokea kabisa....!!!! Mungu na azidi kutulinda....!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.