Nko mwaka wa 3 nilienea library wakaniuliza unadaiwa but nkasema hapana na nilifungiwa matokeo Mana niliambiwa nadaiwa lak 650000 ada ya semester nkaverify
Wakuuu Kama kichwa kinavyojieleza ni kwamba naomba mnisaidie Aris yangu inafail kufunguka kila nkijaza username and password but still haifunguki litakuwa nin tatzo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.