WANAO TAJWA TAJWA KUMRITHI REHEMA SOMBI KITI CHA UVCCM MKOA WA SINGIDA
Na Mwananzengo
Baada ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida ndugu Rehema Sombi kufanikiwa kushinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi taifa , inatarajiwa kwamba ataachia nafasi Moja ya...
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wabwagwa kwenye uchaguzi wa CCM Mkoa wa Singida, wabunge hao ni Mbunge wa Jimbo la Singida mjini Musa Sima na Mbunge wa Jimbo la Singida kaskazini bwana Ramadhan Ighondo waliokuwa wakigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM taifa (NEC) kutoka...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu tunakuomba usafishe genge la wabunge wa mwendazake aliowajaza Bungeni mwaka 2020 kwa ajili ya kazi ya kubadili katiba Ili aweze kutawala milele.
Magufuli aliingiza Bungeni mamluki wengi sana wa idara ya usalama wa taifa kwenda kudhibiti wabunge kuhusu mkakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.