Mr E N Lowassa, ameimarika sana kiafya. Sio yule aliyekuwa sisiem, huyu ni Lowassa mpya mwenye tumaini jipya. Mungu ibariki Tanzania, Mungu bariki watu wa Tanzania.
Kama Mtanzania una uwezo mzuri wa kufikiri, huwezi amini ndani ya ccm kutakuwa na mabadiliko. Tumia akili yako kufikiri zaidi.. Vijana wa mjini wanasema "Jiongeze"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.