Nani kakwambia kuwa ajira huletwa na ccm? Ni mjinga tu anayeweza amini hivyo huku , vijana wetu wako hoi mitaani kwa kukosa ajira. Nijuavyo mimi maendeleo ya nchi ni mipango endelevu tena inayotekelezeka. Mh.alipiga marufuku siasa na kusema mpaka 2020 sasa hizo chaguzi za nini tena wakati muda...
Kwa hoja yako tu, inasadifu wasifu wako kuwa wewe huna hata tone la ualimu
Mbaya zaidi hujui sera kodi ya tanzania, hujui sheria za kodi kwa Tanzania. Hapo ndipo ninakumbuka kitabu cha Juma na Roza
"Heri mimi sijasema"
Sent using Jamii Forums mobile app
Poor reasoning, poor argumentation, low thinking capacity, failure in critical thinking. As a nation we need to have a national debate over " where are we heading to"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.