Tatizo watu huwa hatutafakari maneno kabla ya kuandika. Kumbuka Mr. Pombe kawananga jinsi watu walikiwa wakitajirika na kupanda ndege kusign mikataba huko nje, je nani alikuwa anawatuma? Karamagi si nasikia ndo kinara pale Bandarini ana kampuni ya kupakia na kupakua. Mkapa alimwongezea muda kabla hajamaliza muda wake. Kule kuimba ni kejeri.