Aliyanena hayo katika kikao cha bunge kilichoazimia CAG na TAKUKURU kuchunguza na si kamati teule ya bunge. Sasa huu ni wakati wa mbunge huyu machachari na mwenye kelele kuumbuka?
Kwa mujibu wa makubaliano yaliyo fikiwa wakati wa kupitisha kanuni juu ya nafasi ya mwenyekiti na makamu mkiti ni kwamba 'vigezo' vikuu ni pande mbili za muungano na jinsia!
Mimi ninadhani walipaswa kuongeza kigezo kingine,nacho ni 'kundi moja lisijaze nafasi zote pekee'. Kwa mfano, kama...
s.6 alipokuwa spika wa bunge l a jamuhuri,aliitia kapuni hoja binafsi ya mh.slaa kuhusu ishu ya EPA akidai imejaa ushahidi wa kudownload kwenye internate!..dr. Akaamua kuwithdraw hoja,chama kikampa suport ya kuzunguka nchi nzima kushtaki kwa wananchi. Tahadhari, 6 anataka urais mwakani..hivyo...
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yameleta sura mpya lakini pia yamewaondoa baadhi ya waliokuwepo. Mmoja kati ya walioondolewa bila kutarajiwa ni mh.ole medeye aliyekuwa naibu waziri wa wizara ya ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi. Je ni nini kilichomfanya naibu waziri huyu kuachwa. Je ni zile...
"Kuna chama kinatumia alama ya vidole viwili..stail ambayo vibaka huitumia sana kuzama kwenye mifuko ya watu..lazma kimehusika" maneno haya yangetamkwa na kamanda kover kama ishu ingetokea dar
Nashukuru kwa michango kuendelea vema. Lakini naomba nikumbushe jambo moja,ambalo nadhani linaweza kuboresha michango yetu katika hili. Hayati baba wa taifa hakuwa 'mungu' ,alikua ni binadamu kama walivyobinadamu wengine..hivyo basi 'si kila alitolitenda au kulisimamia' lilikua ni sahihi kwa...
Nashukuru kwa michango kuendelea vema. Lakini naomba nikumbushe jambo moja,ambalo nadhani linaweza kuboresha michango yetu katika hili. Hayati baba wa taifa hakuwa 'mungu' ,alikua ni binadamu kama walivyobinadamu wengine..hivyo basi 'si kila alitolitenda au kulisimamia' lilikua ni sahihi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.