Wakati mwingine tuanahitaji kuwa honest, TFF na Bodi ya ligi wangeendelea na ratiba ya mechi ya tarehe 8 Machi na Simba wakagoma kucheza wangekatwa point 15+3. Unafikiri mchafuko wa kimpira ungekuwaje hapa nchini? Yanga walipo sema hawatacheza mechi ya 15 June na zote zilizobaki iwapo matakwa...
Refa wa jana angechezesha kama Kayombo dhidi ya Mashujaa basi Berkane na CAF officials wangechomwa moto pale Aman. Wazulu walionewa sana mechi zote mbili lakini hatukusikia wakilalamika. Simba ilipofika mashabiki mshukuru viongozi wenu sababu timu ni mbovu mno. Endeleeni kuomba Yanga...
Yaani kama ni kuonewa leo Simba wameonewa. Hizi timu zetu zijifunze haka ka mchezo ka kuhonga maana Yanga nao imewakuta mara kadhaa. Simba hapa nyumbani wanahonga sasa sijui wameshindwa nini kujiongeza fainali, huenda wapinzani wametoa pesa ndefu zaidi.
Nimeona sold out VIP B na bango la Simba linaonesha mechi ni Mkapa Stadium. Tanzania wananchi wa kawaida huwa wanachukuliwa poa sana. How comes unajua kabisa CAF wamesha fanya uamuzi mechi kuchezwa Aman lakini bado tiketi za uwanja wa Mkapa zinauzwa? Hata mashabiki wenyewe akili ndogo ndiyo...
Ukisoma vizuri barua ya CAF utagundua Simba na TFF waliomba mechi ihamishwe kutoka Aman kupelekwa kwa Mkapa. Naona walieleza serikali ya Tanzania imefanya juhudi kubwa kukarabati uwanja huo wa Mkapa ili kuhakikisha fainali ya inapigwa hapo.
Tatizo viongozi wa Tanzania siyo wawazi, hii taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.