Nashukuru kwa maoni yako.
Hii platform ni ya jamii na ako na freedom ya kuweka anything positive to the society.
Kama ulikuwa hujui hapa nchini kuna viwanda vinahitaji Malighafi Taka zaidi ya tani 200 kwa siku. Na ni viwanda vya wawekezaji. Na mwekezaji hawezi kuweka kiwanda pasipo ruhusa ya...
Njoo kazini utapata nafasi
Tunachakata taka (Recycling)
Tunahitaji Waokotaji Taka (Waste Pickers), toka majiji na mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani.
Mwisho wa Maombi 30/6/2024
Tupigie Tafadhali +255 789 753 808. Usitume Sms. Au tuandikie africahomebinahb@gmail.com
UKIMALIZA MITIHANI YA FORM IV 2022 NJOO UJIFUNZE KUCHAKATA TAKA TUKUAJIRI
AFRICA HOME BIN PROJECT AU AHB PROJECT TUNAWAOMBEA MTIHANI MWEMA WENYE MAFANIKIO FORM IV 2022 NCHI NZIMA.
TUNAJISHUGHULISHA Na AFYA YA JAMII NA MAZINGIRA.
TUNA NAFASI ZA KAZI KWENYE IDARA YA KUCHAKATA TAKA (KUCHAMBUA)...
Kuna nafasi kama 20 kariakoo fursa kwa vijana wa kike na wa kiume. Kazi kubwa ni kusambaza chakula kwa wateja wa mgahawa kwenye maeneo ya biashara zao.
Mshahara wa kuanzia ni 120,000. Anaingia saa 12.00 asubuhi na anatoka saa 10. 00 jioni.
Nauli ya kwenda kariakooo na kurudi atajitegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.