Recent content by Kanjokah

  1. K

    Ya Mbagala Na Bedui Aliyekojoa Msikitini...

    Ebu tuamini kuwa huyu mtoto amekosea sana kuliko watu wote duniani,-------- naomba kuuliza kwa nini makanisa yanacomwa? Kuna kanisa lolote ambalo laweza kutuma mtoto kukojolea kitabu kitakatifu cha waisilamu? Hao wanaowalea watawalea mpaka lini? Huhitaji busara ya kukopa kama mwenyewe huna'...
  2. K

    Mo Ibrahim: CCM awamu ya nne yavunja record utawala bora

    Hiyo ripoti imeandaliwa na wagonjwa wa akili. Mzee ben mkapa ndiye kwa kweli nampigia saluti
Back
Top Bottom