magufuri haonei watu isipokuwa kitu ambacho hujakierewa yeye ana pambana na mafisadi wara rushwa mabwenyenye nawasiyo ritakia mema taifa retu upo mukuu
Muta mzushia sana jamaa yuko vzr na ata waumbua sana kwakuwa jamaa hoja zake ni nzito mutabaki kumu zushia Mala kapekuriwa mara kapigwa mitama njooni nahoja zakupambana naye siyo uzushi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.