Recent content by kanamaheri

  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Shule zote za Serikali Morogoro Mjini zimefungwa muda huu, Walimu na Wanafunzi watakiwa kuhudhuria kampeni za CCM

    Huna haja ya kushindana na watu bila sababu kwani mkienda mnapungukiwa nini na akiandika mahudhurio Kisha ukaenda kwenye shughuli zako nani atahoji walimu jiendeeni tuu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli Ikulu ya Dodoma haipendezi, Ukame na hali ya jangwa kunaifanya isiwe na mvuto wa kimuonekano

    Ukame haukimbiwi bali unafutiwa majawabu, miti itapandwa kijani kitakuwepo siku za usoni. Mambo mazuri hayataki haraka Idodomya siku si nyingi ukame utakimbia wenyewe, kupanga ni kuchagua
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Jumapili na Baba Askofu Bagonza

    Nachelea kuamini kama baba askofu wangu kama ni mjinga kweli. Ngoja nisome katiba yetu maana itakuwa ni hasara kwa kanisa na DK
  4. K

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya latishia kuinyima misaada Tanzania

    Tutumie vizuri rasilimali tulizonazo hawa jamaa wanatuendesha kweli kweli na hii misaada yao. Watuzungusha tuu kama antena
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kuna nini zimamoto portal

    Kwenye ajira portal zimamoto kuna tatizo gani na mtandao wenu mbona kuna na vikwazo vya kuendelea na maombi ya ajira. Anayehusika jamani weka sawa engine siku zina yoyoma
  6. K

    JamiiForums Tanzania Elibariki Kingu: Mpina alilipa kila chombo cha habari 10,000,000, wabunge watoa tamko kumlaani wakinukuu korani na biblia

    Alilipa kumi milioni na yeye mshahara wake shilingi ngapi? Kuweni wapole mnakumbuka yale ya tegate escrow, yale ya simba mwaka ule . Tutulie vyombo vifuatirie kama waziri yupo sawa basi mtanzania huyu mwenzetu ndio anangwe vile mnamnanga leo
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Chalamila aondolewe Dar es Salaam, Atasababisha Machafuko

    Wa kwepa kodi
  8. K

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Afrika una faida gani kwa Waafrika?

    Si kazi rahisi kuongoza au kijiongoza maskini. Documents za umoja wa Afrika ziko vizuri shida ni usimamizi wake ndio mugumu. Kama kungekuwa na kuheshimu haki za watu na matumizi bora ya utajiri uliopo Afrika mapinduzi tumeyasikia redioni sasa kuna watu wanageuka miungu watu wanakula wao na...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

    Wakanunue nini wakati wafanyabishara wamegoma wacha serikali ikae na hela zake huko uliko. Mgome na nanyi wa mabasi pia si mmegeuza nchi hii yenu pekee yenu na ninyi ndio muhimu. Tulidishe maduka ya mitaa, vijiji na kitongoji
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

    Wivu unakusumbua,
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Chalamila aondolewe Dar es Salaam, Atasababisha Machafuko

    Chalamila asikashifiwe kama andiko lilivyo sheria zinaandaliwa mnaziona hamtoi maoni yenu mnakuwa busy na zote elfu saba. Zote elfu saba humu wenzenu wanaleta sheria wadau mnakuwa kimya . Sasa mnagoma kuwasilisha hoja kwa serikali au kuona Chalamila anavyoweza kuhandle matatizo ya...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Natangaza kuunga mkono mgomo wa Wafanyabiashara wa Kariakoo

    Ni kukumbuka ya kaka yangu ULIMBOKA ule mwaka wa 2012 umoyo ghukusilila
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya "Rais katoa hela" ni sahihi kwa kiasi gani?

    Kwani wakisema mama (rais Samia) katoa hela wewe unapungukiwa na nini?
Back
Top Bottom