Recent content by Kanahiya

  1. Kanahiya

    Matokeo ya usaili TUICO, uliofanyika tarehe 06/01/2018

    Habari zenu samahani kuna alie na gazeti walilotoa majina mpaka hv sasa, kuna taarifa Nina shida nayo plzzzz
  2. Kanahiya

    Naomba kuuliza

    Naulizi kuna alisikia habari yoyote humu juu ya walioomba nafasi za Tuico je wameshaitwa katika usaili mimi ni mmoja wao lakini ni miezi imekatika sina taarifa zozote.
  3. Kanahiya

    Akishakua na tattoo tu simtaki tena

    Kwa upande wangu mwanamke mwenye tatoo ni mwanamke aliekosa maadili, na fikra hzohuenda mbali hata kwa mwanaume aliekosa tatoo namuweka kwenye Kundi la wasiojielewa....
  4. Kanahiya

    Wanawake 8,000 singles waandamana kuishinikiza serikali iwasaidie waolewe!

    Kiuhalica kila mwanamke ana haki ya kuolewa n hii ipo sana ktk islamic states mfano Almarhum Muammar Gadaf alikuwa akilipia mahal raia wake km motisha ya kuoa n pia wacpatikane spinsters...so wanayo haki hiyo ila c kwa nchi zetu hizi. Ila chengine kinachonishangaza mpumbav gani ataeoa...
Back
Top Bottom