Kwa kweli nami natoa pongezi za dhati kwa Mh. Lukuvi kurudi tena wizara ya ardhi. Tafadhali naomba ufanye muendelezo wa kuwafuatilia ofisi yza ardhi haswa manispaa ya Ilala. Kata ya Kivule ambayo kwa sasa imegawanywa na kutoa kata mbili (Kivule na Kipunguni) diwani aliyemaliza muda wake alifanya...
Naomba nieleweshwe huu mkutano ni uzinduzi wa nini, naona kama wanazindua kiduku. au mimi sikuelewa. nilisikia kama wanazindua kampeni ila bado sijasikia nilichokitarajia. Naona nguvu zangu nielekeze Ukawa huku sijaambua kitu.
Muda unaisha bado sijasikia sera za CCM zaidi ya mipasho. watasema yanayotuhusu watanzania saa ngapi. hii ni aibu. unit zangu za umeme zinaenda bure na sijapata nilichokitarajia. CCM imekufa siyo niliyoifahamu
Kwenye kila mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake. Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza mke wake Lilian kwani ana mchango mkubwa sana kwenye hili.Big up LILIAN
Mungu ana njia nyingi. haya ninayoyaona sikuwahi kuyawaza hata mara moja kwamba ukombozi wa watanzania unapatikana/tptikan kwa njia hii. kweli Mungu ni mwema.
Hata ulete hadithi gani, kura yangu kwa LOWASA. hata akipunga mkono kusalimia tu inatosha. anayo team nzuri ya watendaji. subiri akuwekee baraza la mawaziri atakaowasimamia kwa umakini chini ya UKAWA. hapo utajua maharage siyo mboga ni kiungo cha makande.
Ndio hivyo mlawamum kwa kweli sisi UKAWA hatuna mpango wa kuchagua malaika ila tuna mpango wa kumchagua Rais, na LOWASA ndio chaguo letu na mpango mzima
Hongera CHADEMA na UKAWA kwa ujumla. Nimefurahi kwa haya niliyoyaona kuanzia Juzi Mbeya, jana Arusha na leo Mwanza. Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.