Tungekuwa na Waze japo watano tu Lama warioba kungekuwa na manadiliko lakini kwa bahati mbaya sijui wastaafu wtu wanaogopa nini kufungua vinyasa vyao,
Nawalenga Waze kwasababu hawana cha kupoteza
Nyerere alikuwa peke yake na upinzani wake alikuwa kivuli lakini uchambuzi uliendelea kuwepo lila baada ya miaka mitano,kusema uchaguzi usiwepo huo ni ulevi
Mtoa maaada ameeleza kwa ufasaha lakini bila kukata kona yule mwenye maamuzi ya mwisho ndiye alitumia ubabe kukataa kulipa deni kama vile a a yofanya kwenye mambo mengine lakini jambo alilojisahau kuwa kesi ilikuwa nje ya Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.