Recent content by kana kansungu

  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

    Bandugu kumbukeni Anna Abdalla ni mke wa spika wa zamani Pius Msekwa, hivyo ananafasi kubwa ya kupitishwa ili kulinda maslahi ya chama chao.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Nafikiri wanataka kurudisha utawala wa kifalme kama alivyo king Mswati wa Swazy,au akina malkia Elizabeth, ambapo ufalme unarithiwa kifamilia. Lakini ndugu zangu,Mungu yupo anaona haya. Kwa wana dini mnakumbuka wana wa Israeli walipokuwa nchi ya Misri? walilia sana na Mungu alisikia kilio chao...
Back
Top Bottom