Recent content by KamyZee

  1. KamyZee

    Unafanya nini sasa hivi?

    Najiandaa kuswali Fajr
  2. KamyZee

    Naomba msaada jinsi ya kupata uhamisho kidato cha tano

    Asante sana. Best wishes to you too.
  3. KamyZee

    Naomba msaada jinsi ya kupata uhamisho kidato cha tano

    Mkuu nahitaji kuhama shule pamoja na combination lakini cha muhimu zaidi ni huo uhamisho. Asante kwa taarifa, ntapitia website yao.
  4. KamyZee

    Naomba msaada jinsi ya kupata uhamisho kidato cha tano

    Nashukuru kwa msaada wako, binafsi ningependa kusoma Mbeya lakini imeshindikana kwasababu ya family issues. Either way, I'll keep struggling to achieve my goals. God bless you!
  5. KamyZee

    Naomba msaada jinsi ya kupata uhamisho kidato cha tano

    Habari zenu wanajamii forum, I hope all is well with you. Nimechaguliwa shule ya Loleza iliyopo Mbeya kwenye tahasusi/combination ya PCB (yaani Physics, Chemistry and Biology) lakini kwa bahati mbaya au nzuri, nimeshindwa kwenda. Ningependa kusoma katika shule ya sekondari Dodoma kwenye...
Back
Top Bottom