Recent content by Kamundi

  1. K

    Bunge Linapotumia Nguvu Kubwa Kuficha Udhaifu Wake...

    Na kwa sababu ya vitendo vya Wabunge sijui 400 wa Tanzania, ndio Africans tumekuwa stupid people? Tafadhali ndugu! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Upuuzeni uzushi kuwa ndege ya Tanzania inauzwa nchini Kenya

    Hebu fafanua maelezo yako pls kuhusu huu mkataba wa kuiokodisha ndege kwa kujibu maswali yafuatayo: 1. Serkali imeikodisha Airbus? 2. Aliyekodishwa ni nani? 3. Kukodisha huku ni kwa hiari, au ni sharti la manunuzi toka Airbus? 4. Kwa nini - endapo ni sharti - hatujulishwa tangu mwanzo? Sent...
  3. K

    Historia ya vita kati ya Mtemi Isike na Wajerumani huko Tabora

    Mwandishi kajitahidi lakini kuna hitilafu kadhaa ambazo zinahitaji kusahihishwa. Hizi ni za errors of fact, na pia za style ya uandishi. Mfano wa errors of fact ni uwepo wa DC enzi za Wajerumani enzi hizo, maana hata hizo districts hazikuwemo kwenye mfumo wa utawala wa Deuscht OstAfrika. Aidha...
  4. K

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    Sijui hli limetoka wapi la kulinganisha wasomi. Nakuomba ujisemee mwenyewe..usitusemee!
  5. K

    Rais Magufuli na Buhari watajwa kama marais walioangusha matumaini ya wananchi

    Makala nzuri. Ingekua nzuri zaidi kama kungewekwa hard data kutegemeza uchambuzi.
  6. K

    Rais Magufuli amteua Jaji Semistocles Kaijage kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Na mzee kisha sema si kipaumbele kwake. Kila nikifikiri najikuta naamini kwamba Tume ya Warioba na BMK vilikuwa "gelesha" tu, na vilifanywa pia ili chama tawala kiwalipe mamluki wa uchaguzi 2015 kwa kutumia pesa za uma. Tuna safari ndefu.
  7. K

    WHO: Hakuna ugonjwa wa Zika Tanzania

    Hawasemi ukweli si WHO rep au Wizara ya Afya. Hawawezi kujua kama upo au la kwa sababu hakuna tafiti zinazokanusha uwepo zilizofanywa hapa Tanzania. Piili hawalezi kwamba Zika si ugonjwa wa watoto waliomo wanaosubiri kuzaliwa tu. Mtu wa umri wowote anaweza kuugua Zika. Kwa wengi si ugonjwa wenye...
  8. K

    RC Makonda ajibu maswali kuhusu kumchongea Sirro hadharani, kutopeleka rushwa TAKUKURU

    Naam? Sijakuelewa ndugu. Nani akajishtaki? Kuhusu nini? Nani aache shisha?
  9. K

    RC Makonda ajibu maswali kuhusu kumchongea Sirro hadharani, kutopeleka rushwa TAKUKURU

    Hatujaridhika na majibu ya Makonda. Swala liendeshwe kwa mujibu wa sheria sio kama matangazo ya fiesta. Takukuru wamhoji nani walitaka kumhonga, na kwa nini hakutoa taarifa hapo hapo.
  10. K

    RC Makonda ajibu maswali kuhusu kumchongea Sirro hadharani, kutopeleka rushwa TAKUKURU

    Kwa nyongeza tu kwa nini tusiamini kwamba Makonda aliipokea hiyo hongo? Hata hivyo hatujachelewa sana. Takukuru imtake atoe hayo majina na ichukue hatua stahiki.
  11. K

    Muswada wa Huduma za Habari: Nape amshukia Zitto, Zitto naye amjibu

    Jisemee mwenyewe ndugu. Huna uhalali wa kuwasemea wengine, hasa kama unatumia hisia tu na si data za utafiti makini. Pia ku-generalize ni hatari mno, na busara ya kawaida humkataza aliyenayo kufanya hivyo. Mwisho intaneti ni zaidi ya Facebook na Whatsapp, na tuko Watanzania wengi ambao...
  12. K

    Muswada wa Huduma za Habari: Nape amshukia Zitto, Zitto naye amjibu

    Unapatikana kwenye tovuti ya bunge, ingawa nakubaliana nawe kwamba ungesambazwa kwa umma pia kama chapisho kwenye vyombo vya habari tunavyovilipia toka kwenye kodi zetu km Taifa leo.
  13. K

    Muswada wa Huduma za Habari: Nape amshukia Zitto, Zitto naye amjibu

    Huu mtindo wa kuwaambia watu wafanye kazi badala ya hiki au kile una walakini. Sidhani kama kuna anayeacha shughuli zake za kujikimu na kujiendeleza akaja mtandaoni. Kadhalika wajibu wa mwananchi kwa serkali yake ni kulipa kodi, na kujitunza yeye na wanaomtegemea. Sijaona utafiti uliothibitisha...
  14. K

    'Who created God' is an Illogical Question!

    Ili tuwe na mjadala wenye tija nashuri kwamba kwanza tuanze na kufaanua maana ya msamiati tunaoutumia. Hivyo naomba kwanza utupe definition ya Mungu na creation kama ulivyovitumia hapa.
  15. K

    Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

    No hayajaisha. Mimi ningekua najibu hizi hoja ningetoa vyeti vilivyohakikiwa,mathalani cha kuzaliwa au cha Form IV ili kutoa shaka kabisa. Mheshimiwa hapo juu kahadithia na kuonyesha correctly kwamba mjina hubadilika. Aendelee ushujaa aliouonyesha kwa kuweka nakala za vyeti hivi. Viongozi...
Back
Top Bottom