Recent content by kamugera

  1. K

    Afisa ustawi wa jamii Kinondoni afanya ubabaishaji na unyanyasaji kwa mwanandoa

    Maafisa ustawi wanafanya kazi nzuri sana na ngumu. kutumia kwao sheria ndio kunapokuonyesha hujapata haki yako. Afisa ustawi haamui kesi bila vifungu vya sheria napia hukutakiwa kweli kumsindikiza sababu mahojiano ni siri na ni ya watu wawili labda uhitajike wewe msindikizaji tena kwa barua...
  2. K

    Ni benki gani naweza kukopa kwa kutumia karatasi ya kiwanja au shamba? Sio Hati!

    Wana jf ni bank gani ambayo mtu anaweza kukopa kwa kutumia karatasi ya kiwanja au shamba? Sio hati lakini.....
  3. K

    Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

    Kuna kazi ngumu kama wanayoipata maafisa ustawi wa jamii??? Kusuluisha migogoro ya ndoa,kulinda haki za watoto,wazee,watu waishio na vvu,walemavu kwa ujumla na kuwajenga waone maisha ni kama zawadi kwao... Pia walimu nawakubali sana ila serikali ikiongeza mishahara iguse kote.Hali ya maisha si...
  4. K

    Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

    Hivi ikiongelewa mishahara inawataja walimu na kada ya afya tuu. Je, watumishi wengine hawafanyi kazi tena ngumu sana zinazohitaji kutumia akili kudeal na pyschosocial problems? Je, mishahara itaongezwa kuziba mianya ya maisha tunayoikabili ili kuweza kufikia malengo ya nchi na ya mtu mmoja mmoja?
  5. K

    Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

    Hahahahahhaha.... Ndugu wamekuwa wateja hahaha
Back
Top Bottom