Makamanda wa CHADEMA wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara kijiji cha Mkabogo ndani ya jimbo la Kigoma kaskazini siku ya Jumapili. Mchakamchaka huu utasimamiwa na vijana wapenda mabadiliko na wazalendo wa kweli wanaoamini mabadiliko ya wana Kigoma kaskazini yataletwa na wana kaskazini...
Makamanda wa CHADEMA siku ya jumapili wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara kijiji cha Mkabogo ndani ya jimbo la Kigoma kaskazini siku ya jumapili.
Mchakamchaka huu utasimamiwa na vijana wapenda mabadiliko na wazalendo wa kweli wanaoamini mabadiliko ya wanakigoma kaskazini yataletwa na...
ACT ni mbadara wa CUF kwani ndicho chama kimekuja na mkakati wa kuwakusanyanya waislamu waliokuwa wamesambaa.
Mratibu wa ACT kg ni div 0 ya newman kg na zuzu la kufa mtu linalohubiri udini na ukabila katika kutafuta wanachama.
wapiga kura wa ZZK tunamshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea kwa Mbunge wetu na haya yote tunasema yamekuja kwa wakati kwan huyu jamaa ana ndimi nyingi zinazomfanya kutoaminika mbele ya jamii.Jamaa ana mchango mdogo mdogo sana ktk chama na ndio maana jimbo lake mpaka leo lina diwan mmoja tu wa...
Hodi hodi wana jamvi,mm ni mwanajanvi mpya naomba mnipokee.nianze na viongozi wa cdm hapa mkoani kg tangu wachaguliwe hasa mwenyekiti wa Bavicha mr Beji ambaye pia ni meya wa manispaa ya h ya kg ujiji,huyu jamaa toka achaguliwe hafanyi Vikao wala kuhamasisha vijana kujiunga na chama yaani ubutu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.