Recent content by Kampuni

  1. K

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    I hope hawana huo usanii bcoz aliyeniunganisha niliongea nae anasema yeye mwezi jana alikuwa ameingiza $705 na walimlipa zote.
  2. K

    Mashine ya kumenya na kukausha muhogo

    Habari wanajamvi? Kwa wale wanaofahamu makampuni au wajasiriamali wanaotengeneza mashine za kumenya na kukausha mhogo (cassava peeling/drier machine) anielekeze ama anipe contact zao please. Natanguliza shukrani kwa michango yenu.
  3. K

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Kwa wale wanaotaka kujiajiri na wanakosa mtaji wabonyeze link hii hapa waanze kukusanya mtaji online, kujisajiri na kuanza kutengeneza pesa ni bure: Hapa tutakudirect kwenye homepage ambayo utatakiwa kujisajiri kama member kwa kufungua akaunti yako kisha utapewa link yako utai-copy na kui-paste...
  4. K

    Project funding sources

    Kama link hiyo inagoma kufunguka na kukudirect kwenye homepage ya website husika tafadhali ni-inbox PM namba yako ya simu au email address yako nikutumie link husika.
  5. K

    Project funding sources

    Bonyeza link hii hapa uanze kutengeneza fund yako mwenyewe online, mi nimejiunga wiki juzi hadi sasa kwenye akaunti yangu natengeneza minimum $50 kwa siku kwa sababu network yangu bado haijakua sana. ukiwa na network link kubwa yenye visitors wengi unaweza kutengeneza hadi $5000 au zaidi kwa...
  6. K

    Naomba kuelekezwa ilipo kampuni Vision MultilLevel (VML) Global Tanzania Ltd

    Habari wanajamvi! Naomba kwa anayefahamu ilipo kampuni ya kizalendo ya VML Global Tanzania Limited au saccos yao Vission Saccos Limited anielekeze walipo, nataka niende kuwaona nina muhogo ekari 10 natarajia kuvuna niwauzie maana naskia wanatoa bei nzuri ya raw cassava kwa ajili ya kutengenezea...
Back
Top Bottom