Ist grade mtumba clothes unapatikana kwa bei nzuri hapa dukani kwetu maeneo ya TABATA AROMA karibu na DAR WEST PARK. Tuchake kwenye wtsp #0714121270 or 0758233324,our facebook page: dativahcleanlooks, the same name on instagram to see our daily stock.Karibuni sana.
Muhusika ndio alitakiwa approve na siyo yeye kumprovia kwani alikuwa anaenda kumshika miguu wakati anaenda kugawa au umbea tu. Isitoshe nyie wanaume mnatabia ya kujisifu uongo juu ya mwanamke.
Mshamba sana wewe. Unawezaje kucmama katikati ya watu wawili dume zima halafu unaona umefanya cha maana nyie ndio wale mnaokuwaaga vimbelembele maofisini kudiscuss ya watu utafikiri ndio kilichokupeleka hapo.
Nenda kwa watu wanaokata mabalo yq nguo za watoto chagua nguo ambazo ni quality kwa shiling 50,000 unaweza kupata nguo kama pc 25 kwa bei ya shilingi 2500, then wewe utauza kwa 5, 000. So utapata faida nusu kwa nusu kazi kwako mzee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.